Recent content by Wilson kambimbaya

  1. Wilson kambimbaya

    Mbabe wa Dunia wa Mieleka kupigwa dakika 1 na Sec 25 Ni Haki?

    Aliombwa na mwanae akapambambane, hivyo ilibidi ashinde ili mwanae afurahi, hakukuwa na ushindani hapo.
  2. Wilson kambimbaya

    LIVE: Man UTD vs Arsenal...

    Hivi Ronaaldo bado anachezea Man U?
  3. Wilson kambimbaya

    Sishangai Yanga kuleta kocha mpya!Labda sasa wanataka kucheza mpira

    Kweli we kibaravumba. Kwamacho tu huoni mpira wa Yanga ni mwingi.?!!! Acha mavumbi yakukolee
  4. Wilson kambimbaya

    clouds wanatumika kuichafua simba

    Ila simba mapaka sasa yanawarudia wenyewe, mtakoma miakaa hii, Yanga ileeeeeee inayoyoma, mtaishia mchani tu na mwakani tumo tena kimataifa zaidi. VPL tunachukua kulinda heshima.
  5. Wilson kambimbaya

    Yanga ubingwa wa Tanzania wa nini kama mashindano ya kimataifa huwezi

    Simba ligi Kuu VPL yanini wakati mna miaka zaidi ya 10 hata nafasi yapili hamshiki, si bora muwaachie majimaji ya Songea wanalizombe walau wanaweza kuonesha mabadiliko kuliko nyie mlizoea matopeni.
  6. Wilson kambimbaya

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Asante, mbinguni kuna keyboard kuuubwa, tutaikuta.
  7. Wilson kambimbaya

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Kuna tofauti kati ya Mungu na mungu. Mungu ni muumba wetu. Ila mungu ni kitu cha kuabudiwa na watu furani. God and gods
  8. Wilson kambimbaya

    Whatsssssss!!!!!!!!!????

    Haka kamesemo ka MUNGU ANAKUONA kameendelea kuonesha kuwa mungu ni mfano wa kutajwa mpk kwenye upuuzi. Pitia amri 10 za Mungu upya.
  9. Wilson kambimbaya

    Bodi ya wadhamini CUF yamkataa rasmi Prof. Lipumba, kumshtaki mahakamani alipe gharama za Tsh 600m

    Hakika siasa ni mchezo mchafu, na watu kama bwana yule ndio wanaotumika vibaya mwishowe uachwa kwa Aibu kubwa, mpk sasa bwana yule amejivunjia heshima kwa watz wengi. Aibu yake aibu ya familia yake.
  10. Wilson kambimbaya

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Hivi kuna tofauti kati ya andaki na pango?
Back
Top Bottom