Recent content by Wilson john

  1. Wilson john

    Tunavyoweza kuchochea mabadiliko katika Utawala Bora na Uwajibikaji

    Utangulizi Utawala bora na uwajibikaji ni msingi wa maendeleo na ustawi wa taifa lolote. Nyanja hizi ni muhimu katika kukuza uwazi, usawa, na ufanisi katika utoaji wa huduma za umma na maamuzi ya kisiasa. Katika andiko hili, tutajadili umuhimu wa kuleta mabadiliko katika nyanja hizi na jinsi...
  2. Wilson john

    Rais wa Russia amesimamisha safari zote za ndege za kibiashara kwenda Misri Ijumaa

    Hilo limetokea wakati wachunguzi wakiendelea kuchunguza kama bomu liliangusha ndege ya Russia mwishoni mwa juma lililopita. Ndege ya shirika la Russia la Metrojet aina ya Airbus A 321ilianguka kwenye Peninsula ya Sinai na kuuwa watu 224 waliopanda ndege hiyo. Kiongozi huyo wa Russia alichukua...
  3. Wilson john

    Balozi Juma Mwapachu ajivua uanachama wa CCM, hajaamua kujiunga na chama kingine

    Tena kachelewa hana hoja zaidi ya kudai anamjua sana lowassa hapa hatuna maswala ya kujuana kazi tu
  4. Wilson john

    Kufeli kwa wanafunzi wengi katika masomo ya sayansi

    Habari wanajamii forums.Naomba Mjadala Huu utupatie ufumbuzi yakinifu katika jambo hili.Je ni kwanini wanafunzi wengi wanashindwa zaidi katika masomo ya sayansi mashuleni kuliko masomo ya sanaa na biashara? Mchango wako ni muhimu katika ushiriki wako.
  5. Wilson john

    Askofu Kilaini amvaa Dr. Slaa kuhusu Maaskofu kuhongwa na Lowassa

    Mm nadhani hawa waliopita filosofi miaka kadhaa wamemwelewa dr slaa, tatzo huyu nae alikuwa muhubiri siasa katika ibada mara nyingi ndo chanzo cha kutupwa huko mpakani mwa uganda nadhani ajiandae kwenda italy kwa kuwa sasa amerudi bila kufikiria wala kunukuu alichozungumza dkt, baba majibu yako...
  6. Wilson john

    Sikonge waandamana kupinga Said Nkumba kuchaguliwa na CHADEMA

    Mbona amjaandamana wakati mlipoletewa ufigisu kwa mgombea urais kupitia UKAWA hapa ndipo utakapogundua akili mbovu za CHADEMA na UKAWA
  7. Wilson john

    Mwalimu wa nursery anatafuta kazi

    Habari! Mwalimu wa chekechea natafuta kazi,nina uzoefu wa kutosha na uwezo wa kufanya kazi namba za simu 0783424755 kwa anayehitaji mwalimu. Ahsante!
Back
Top Bottom