Kozi ya MD mwambie aachane nayo tu kwa sababu ushindani ni mkubwa sana hasa ufauli ukiwa wa kawaida MD wengi ni wale wenye Div 1 vigezo vya serikali ni C ya bios,C ya chem na D ya phys lakin vyuo vingi hawachukui ufaulu huu cha kufanya kutokana na tatizo la ajila kutoeleweka bora akasome hata...
Kweli hii ya zaman sana.mfano shinyanga saiv kuna shule 2 zote ni shinyanga moja boys nyingine boys advance ila o-level ni mchanganyiko.boys walishaongeza michepuo ya PGM na HGL
Mmenikumbusha nishawahi kufanya kazi morogoro mshahara ulikuwa elfu 25 kwa mwezi.chumba elfu 5kwa mwezi kula mchana kwa bosi.usiku jitegemee.hapo hujanunua nguo.nyumbani wanapiga simu kuomba hela, bado mchepuka.kuna cku nilijaa hasira boss nikamwambia kazi ya kijinga hii siiwezi nikaachana...
Taaluma ya ualimu ni kuchoshana et mtu kasoma pcm.kasoma intergration, differentiation, differential equation, complex number halafu anafundisha form one hiyo ni haki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.