Recent content by wilsmam

  1. wilsmam

    Nahis mpenzi wangu ananifanya nikose michepuko

    Huwezi kutambua thamani ya mtu hadi umpoteze? Wahenga walisema ukiwa msituni hautauona Msitu, utaona miti tuu, Mpoteze huyo halafu umpate atakayechepuka ukiwa kazini au ukiwa mbali uanze kulalamika et wanawake wa sikuhizi hawatulii.
  2. wilsmam

    Jamaa yangu kadata kwa penzi moto la jimama

    Ja JF raha sana, Ukitaka kucheka muda wote pitia threads za humu
  3. wilsmam

    Nilivyonusurika kuambukizwa UKIMWI

    Nikisomaga threads kama hizi huwa nakosa kabisa hamu ya kuoa, Wadada wa siku hizi mkoje? Mnatamaa sana, yani hata kama mtu anajua anampenzi halafu anajisahau hadi Anatoka tena na mtu mwingine, Isitoshe baada ya kutambua umetoka mtegoni tena unamwacha na mpenzi wako halali bila unyumba, Hivi...
  4. wilsmam

    Wakati imefika kwa Wakristo kuruhusiwa kutalikiana hata kabla ya kifo.

    Cyo kirahisi kama unavyodhani, papa naye ana washauri wengi tuu, Sent using Jamii Forums mobile app
  5. wilsmam

    Wakati imefika kwa Wakristo kuruhusiwa kutalikiana hata kabla ya kifo.

    Kwann Sent using Jamii Forums mobile app
  6. wilsmam

    Wakati imefika kwa Wakristo kuruhusiwa kutalikiana hata kabla ya kifo.

    Hata sisi wakatoliki haturuhusiwi kutalikiana
  7. wilsmam

    Msaada: Kupandisha shetani ndio nini?

    Tusubiri wachungaji watasema nn
  8. wilsmam

    Hii Kwa Wanaume ambao bado Hamjaoa

    Ni kweli, lakini Bora ukawa mwaminifu ukamwambia ukweli, mfano unaweza ukakutana na mdada ana matatizo sana mfano kafiwa na wazazi wake Hana amani, ukamfariji wakati wote, akajisikia faraja na akazidi kukupenda na kutamani kuishi nawe, zaidi akakueleza nia yake ya kuishi nawe kama wapenzi...
  9. wilsmam

    Madada wanaojiuza ni watamu ila sio Romantic

    Sasa c Bora uache hiyo tabia mana utakuwa addicted, utashindwa kujizuia na utaacquire kirahisi zaidi
  10. wilsmam

    HII NI NINI KWA DADA ZETU?

    😂😂😂😂
  11. wilsmam

    We unapenda akuiteje?

    Baba
  12. wilsmam

    Shunie na Sakayo.

    A Amina, nawe pia
  13. wilsmam

    Naombeni ushauri kwa hili

    Ndiyo, namjua vizuri sana Hana tabia hatarishi
  14. wilsmam

    Naombeni ushauri kwa hili

    Ahsante sana, na nyumban ntasemaje, kama wakijua ana mtoto
Back
Top Bottom