Huwezi kutambua thamani ya mtu hadi umpoteze?
Wahenga walisema ukiwa msituni hautauona Msitu, utaona miti tuu,
Mpoteze huyo halafu umpate atakayechepuka ukiwa kazini au ukiwa mbali uanze kulalamika et wanawake wa sikuhizi hawatulii.
Nikisomaga threads kama hizi huwa nakosa kabisa hamu ya kuoa,
Wadada wa siku hizi mkoje? Mnatamaa sana, yani hata kama mtu anajua anampenzi halafu anajisahau hadi Anatoka tena na mtu mwingine,
Isitoshe baada ya kutambua umetoka mtegoni tena unamwacha na mpenzi wako halali bila unyumba,
Hivi...
Ni kweli, lakini Bora ukawa mwaminifu ukamwambia ukweli, mfano unaweza ukakutana na mdada ana matatizo sana mfano kafiwa na wazazi wake Hana amani, ukamfariji wakati wote, akajisikia faraja na akazidi kukupenda na kutamani kuishi nawe, zaidi akakueleza nia yake ya kuishi nawe kama wapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.