habar yako..iyo mambo n rahisi sana ila tricky kidogo..niliuziwa iphone 4 ilikuwa ina icloud na nilihangaika sana na nikafanikiwa kuitoa..iko hiv..
ingia settings>icloud..ukishafika kama find my phone iko on..uwe unatap delete account na cancel usichoke fanya hivyo mara...
yan ccm inashinda vizuri tu..tatizo la vijana tunaathiriwa sana na ushabiki bila kuangalia na kutasmin mambo kiundan..tusiwe bendera vijana tanzania n nchi inayo endelea n maendeleo yapo..vijana tunadanganywa eti tutapewa ajira bila kujiongeza mwenyew utaendelea kulia kila siku..kama tunataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.