Recent content by Wilkboy

  1. W

    JamiiForums Tanzania Wingi wa neno 'chupa'

    Wanajamii forum nimekuwa nikisumbua kichwa kuhusiana na Uwingi wa neno chupa huku nikikabiliana na maneno mawili ambayo ni VYUPA na neno CHUPA kama uwingi! hivyo naombeni mawazo yenu katika suala hili!
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe. Nassari Joshua akamatwa na Polisi na kuachiwa kwa masharti

    Kweli jeshi la policcm majanga! Wangejua ndio wanazidi kuipandisha juu cdm wasingefanya hivyo! Ngoja watusaidie kupiga kampeni!
  3. W

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa guest cku nyingi so nimeamua kujiunga

    Nashukuru wote kwa ukaribisho!
  4. W

    JamiiForums Tanzania Picha: Baada ya Mnyika kukoswa na bomu mkutano unaendelea

    Mabomu yameshazoeleke ndio mana bado wa2 wanajaa kwenye mikutano so kama vp ccm wajipange kivigine mbinu hii imeshakwama!
  5. W

    JamiiForums Tanzania Tanzania turudishe majeshi yetu nyumbani Haraka

    Boro wabaki huko kuliko kurudi Tz kunywa pombe 2! Kwa hiyo ni moja ya nafac yao ya kujiimarisha zaidi kuliko kukuu hapa na kuota vitambi! R.I.P makamanda mliotutoka kishujaa.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Lipumba atunukiwa Nishani ya kuhamasisha Amani

    Waache wazigawe kama pipi! Cjajua wanazingatia vigezo gan? Kweli hayo nayo ni maajabu ya tz!!!...
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la mishahara,CWT itisheni mgomo Walimu tuko tayari kwa mapambano.

    Swala la walimu kugoma ni ndoto so mi namshauri mwenyekiti asiitishe mgomo coz walimu hamna umoja!
  8. W

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa guest cku nyingi so nimeamua kujiunga

    Baada ya kuingia jf kama guest kwa mda mrefu leo nimeamua kujiunga! Kwa hiyo ni mgeni bt asiye na kamba! Naombeni ushirikiano wenu!
  9. W

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mbowe kuhutubia wakazi wa Mji wa Songea kesho

    Wanachama nimeipenda sana jf! Na nimeamua kujiunga kwenye ukurasa huu so naombeni ushirikiano wenu
Back
Top Bottom