Recent content by wililo

  1. W

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hello nahitaji kuja Rudewa-Njombe mwalimu aje Biharamulo-Kagera.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Ubovu wa Elimu ya Tanzania

    Habari ndugu zangu! Leo naomba kuongelea kidogo ubovu wa elimu ya TANZANIA hasa elimu msingi na sekondari. Elimu yetu ya msingi na sekondari imekuwa na changamoto nyingi ambazo zimepelekea elimu hii isiwe chombo Cha ukombozi Kwa mwananchi. Changamoto hizo ni kama ifuatavyo: 1.Lugha ya...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Electronics hardware na changamoto zake

    Upo sahihi kinachoangaliwa ni bei rafiki
  4. W

    JamiiForums Tanzania Electronics hardware na changamoto zake

    Mwanza eneo Gani?
  5. W

    JamiiForums Tanzania Electronics hardware na changamoto zake

    Habari wataalamu wa biashara! Nina wazo la kuanzisha biashara ya vifaa vya umeme pamoja na vyombo vya umeme. Naomba Kwa mtu mwenye uzoefu anipe mwongozo Kwa upande wa faida na changamoto za hii biashara! Nipo Kagera- Biharamulo Naomba kuwasilisha madam!
  6. W

    JamiiForums Tanzania Chama Cha walimu Tanzania (CWT) VS Chama Cha kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA)

    Walimu walio wengi ni waoga hata kuhoji haki zao
  7. W

    JamiiForums Tanzania Chama Cha walimu Tanzania (CWT) VS Chama Cha kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA)

    Hakuna hiari ya kujiunga zaidi ya kulazimisha ukatwe
  8. W

    JamiiForums Tanzania Chama Cha walimu Tanzania (CWT) VS Chama Cha kutetea haki za walimu Tanzania (CHAKUHAWATA)

    Chama Cha walimu TANZANIA na Chama Cha kutetea haki za walimu TANZANIA Hivi ni vyama vimeundwa Kwa mujibu wa Sheria Kwa lengo la kusimamia na kutetea haki na maslahi ya walimu. Tofauti yake: 1. CWT wanakata 2% kwenye msharahara wa mwanachama lakini CHAKUHAWATA wanakata 5000/= kwenye mshahara...
  9. W

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini

    Kuuamini upinzani itachukua muda Sana! Hawa ni vibaraka wa wakoloni wasioitakia mema nchi yetu, sakata la madini mgombea urais kupitia upinzani akasimama kama wakili wa mabeberu ili kuidhoofisha nchi. Mama Samia Suluhu tuvushe palipo baki tusonge mbele.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

    Mabeberu haya yametumwa kufilisi wakuli (wanyonge)
  11. W

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Wahaya mliopo njombe rudini kwenu bhana nije kwetu makete aise!
  12. W

    JamiiForums Tanzania Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

    Huo unaitwa ukoloni Mambo voda! ni shida Bora hata kodi ya kichwa.
  13. W

    JamiiForums Tanzania Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

    Shida wateja wangu vijijini wapo huu mtandao, nilishanyosha mikono kitambo Sana.
  14. W

    JamiiForums Tanzania Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

    Hawa jamaa ni shida Sana! Hawa nilishawatoka nimeshagundua ni akinachuma ulete.
  15. W

    JamiiForums Tanzania Hivi mmuliki wa vodacom atikea wapi?

    Habarini ndugu zangu? Naomba ufafanuzi juu ya huu mtandao wa vodacom kwangu hawajama wamekuwa kero kabisa! Naona huyu mmuliki wa mtandao huu anatakatuwe masikini na yawezekana hajui maisha ya watanzania au ametajirika sana anatakakupunguza idadi ya wateja. Sababu za kusema hivyo: moja vifurushi...
Back
Top Bottom