Ufundi simu una pesa ila vijana wengi hawana mipango ni bata tu. Mimi nilianza na 300000 mwaka 2021 ufundi simu tu bila kuuza chochote ni ufundi simu pekee hivi sasa nina Vifaa vya kisasa thamani yake ni zaid ya milioni 3 kwa sasa na bado ninaendelea kujiendeleza katika vifaa sitegemei u...
Ufundi simu unachukuliwa easy sana mimi ni fundi simu niko dodoma kuna mshikaji namuamini sana kwenye kutengeneza iPhone ni best dodoma hii juzi nilikuta analipia dollar 800 kujifunza kutengeneza face id full course online
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.