Wajinga hawatakaa waishe unaweza kua smart sana ukijaribu kua kimya sio kila jambo ni la kuchangia. Inamana hujui jukumu la serikali ni pamoja na kulinda raia wake popote walipo duniani kama wapo kihalali
Habari za huku wakuu kuna mdau huku aliwahi agiza bidhaa na mzalendo cargo nataka kuagiza godoro nauliza ili nijue ubora maana bei zao ni za kizalendo kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.