Angekuwa ni mzungu ametumia hayo maneno ya kumuita sokwe binadamu sababu ya rangi yake,watu wote tungesema wazungu ni wabaguzi, jitahidi kutumia lugha ambayo haitadhalilisha utu wa binadamu mwenzio siyo kumuita mwenzio sokwe haipendezi.
Siyo swala la pesa,Hersi na wachawi wote wa Yanga ukiwemo wewe mlikuwa mnamuombea Fei apotee kabisa kwenye ramani ya soka duniani, hivyo roho zenu mbaya zimeshindwa,mama kategua hila na mtego wenu.
Mwaliko wa ikulu ulikuwa ni shubili kwa viongozi wa Yanga usiku ulikuwa nimrefu sana,wamesonya usiku kucha,mama amewapiga na kitu kizito,[emoji3][emoji3]
Hata mchukue kombe bado ukweli unabaki palepale kuwa hili ni kombe la WALIOFELI,maharage ni maharage tu hata uyawekee viungo vya dizaini gani hayawezi kugeuka kuwa nyama.
Hadi leo bado mnaweweseka kufungwa na Simba!,hiyo imeenda mimba tayari iliingia haijalishi ulibakwa au ulitoa mwenyewe kwa hiari yako,na leo tena mtapigwa kama ngoma na Rivers mtake mstake
Niambie ktk kumbukumbu zako ni derby gani ya Simba vs Yanga ambayo iliisha bila refa kutupiwa lawama,kwakifupi kila timu inayofungwa lazima ilalamike kuwa refa aliwaonea.
Kwakifupi ni kwamba mimba imewaingia vizuri sana mmeanza kutema mate bao mbili siyo mchezo,alafu siku nyingine usirudie kwenda uwanjani na matokeo kichwani mwako utakufa kwa pressure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.