Imeelezwa kuwa wakati Tanzania ikiwa na nguvu kazi kubwa ya watu milioni 33, sekta ya umma imeajiri chini ya watu milioni moja, jambo linalothibitisha kuwa serikali haiwezi kuwa injini kuu ya uzalishaji wa ajira. Hayo yamefafanuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi ametoa onyo kali kwa watu wanaochochea vurugu nchini, akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia vitendo vinavyohatarisha amani ya taifa, huku akiwataka wananchi kuwa macho dhidi ya ushawishi wa watu wenye ajenda...
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Véron Mosengo-Omba amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuhudumu kwa zaidi ya miaka 30. Katika taarifa yake kwa umma amesema amechukua uamuzi huo ili kujikita katika miradi binafsi na kwamba anaondoka na kuiacha CAF ikiwa imara kuliko wakati...
Watu wanne wamehofiwa kufariki dunia baada ya kusombwa na maji wakiwa kwenye gari jana majira ya saa 1 usiku March 26 2026.
Akizungumza kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson amesema ajali hiyo imetokea Machi 26, 2026, katika eneo la daraja la Mto Mang’onyi lililopo...
The introduction of the injectable drug Lenacapavir, alongside major reforms in the health service delivery system, marks a new phase in Tanzania's fight against HIV, with the government also planning to phase out specialised Care and Treatment Clinics (CTCs) to reduce stigma and improve access...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akieleza kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata Ibrahimu Nzumbi Mugendi (31) Mkazi wa Kijiji cha Makere Wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Mtuhumiwa alifika Mkoa wa Mtwara tarehe 18.02.2026 na kufikia katika nyumba ya kulala wageni(jina...
Ripoti ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imebaini mapungufu makubwa katika viwanja vya Kenya vilivyopendekezwa kwa ajili ya mashindano ya AFCON 2027. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, hadi Februari 2026, hakuna kiwanja, kati ya viwanja vitatu vilivopendekezwa, kilichofikia viwango vya Daraja la 4...
Serikali ya Marekaninchini ya Rais Donald Trump inaweza kuwalazimu wasafiri kutoka nchi tano zilizofuzu Kombe la Dunia kulipa dhamana ya hadi Dola 15,000 ili kuruhusiwa kuingia nchini Marekani kwa ajili ya michuano hiyo.
Jinsi Dhamana Hizi Zinavyofanya KaziDhamana za viza zinafanya kazi kama...
Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Arusha imeanzisha operesheni maalum ya kukamata pikipiki zinazokiuka sheria za usalama barabarani, hususan zile zinazotoa kelele za milipuko na zilizofungwa taa zenye mwanga mkali. Hatua hiyo inalenga kuboresha usalama wa usafiri na kupunguza kero kwa watumiaji...
Askofu Mkuu mwanamke wa kwanza Dame Sarah Mullally ameapishwa rasmi kuwa katika historia ya Kanisa la Anglikana duniani, akiongoza waumini takribani milioni 85.
Ingawa alianza majukumu yake tangu Januari mwaka huu, hafla ya kuapishwa imefanyika kama sehemu ya kuthibitisha rasmi mwanzo wa...
Msanii Webiro Wasira (Wakazi) amesema Wakili Peter Kibatala ameanza mchakato wa kutengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kumtaka amlipe fidia ya TZS milioni 100, Clayton Chipando (Baba Levo) kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na za kumkashifu kupitia...
Takriban watu 24 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la abiria iliyotokea siku ya Jumatano, Machi 25, 2026, katika eneo la Daulatdia, wilaya ya Rajbari nchini Bangladesh. Ajali hiyo ilitokea wakati basi hilo likijaribu kupanda kivuko (ferry) ili kuvuka Mto Padma.
Inaripotiwa kuwa dereva wa...
Kama ilivyo kwa watu wengi, nimekuwa nikisikia hadithi na imani mbalimbali za mitaani kuhusu matumizi ya limau. Hivi karibuni, niliamua kunywa maji ya limau kwa wingi. Lengo langu halikuwa kufanya majaribio ya kitabibu, bali ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wangu tu wa kawaida.
Huwa nimewahi...
Mchambuzi wa masuala ya siasa na uongozi, Paternus Niyegira akiwa katika mahojiano na media ya Crown Media amesema kushangilia kifo cha kiongozi si busara akidai kuwa ni sehemu moja ya protest hivyo yeyote ila sio tabia njema hata kama ni adui yako.
Lukuvi aliweza kushughulikia matatizo mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.