Recent content by Wild Flower

  1. W

    JamiiForums Tanzania Ghana yaanzisha mfumo wa E-VISA utakaokuwa bure kwa Raia wa nchi za Afrika

    Ghana inatarajia kuanzisha mfumo mpya wa viza kwa njia ya mtandao (e-visa), ambao utakuwa bure kabisa kwa raia wote wa nchi za Afrika. Taifa hili linatarajia kwamba hatua hii ya kutoa viza bila malipo itawavutia watalii pamoja na wawekezaji, na kuifanya Ghana kuwa nchi ya sita barani Afrika...
  2. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Oktoba 29 ilitushtua zaidi CCM, Tulipata mshangao

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi , Dkt. Asha-Rose Migiro @officialasharosemigiro anaeleza kuwa matukio ya vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025, yalikishangaza pia Chama hicho kwani haikuwahi tokea
  3. W

    JamiiForums Tanzania Rose Migiro: Polisi hailindi CCM, inawalinda wananchi

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro katika Mahojiano maalumu na Salim Kikeke anaeleza kuwa Jeshi la Polisi lina Wajibu wakulinda Raia wote wa Tanzania na sio CCM kama baadhi ya Watu wanavyodai.
  4. W

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamtafuta mtuhumiwa anayefahamika kwa jina la Kassimu Ally Juma (34), mkazi wa Kata ya Unyambwa, Wilaya ya Singida, kwa tuhuma za kupandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa katika shamba lake pamoja na bango lenye ujumbe uliosema ‘Uzinduzi wa...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Sheikh Alhad: Marekani iheshimu serikali yetu inayoendeshwa kwa misingi ya Kikatiba, wanatuonea wivu tumevuka salama na Oktoba 29

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) Sheikh Alhad Mussa Salum ameyasema hayo Mei 26, 2026.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Dereva Arusha: Unafanya kazi ya Kanisa mshahara ni Haleluya

    Wakazi wa Jiji la Arusha wamejikuta wakipata adha kubwa ya usafiri baada ya baadhi ya madereva wa daladala kugoma kuingiza magari yao barabarani wakipinga kile walichodai kuwa ni manyanyaso kutoka Land Transport Regulatory Authority (LATRA). Mgomo huo ulioshuhudiwa leo Jumatatu Mei 25, 2026...
  7. W

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaonya Shule kuchapisha picha za wanafunzi mitandao kutokana na tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail)

    Shule nchini Uingereza zinapewa onyo la kuondoa picha za wanafunzi wao kutoka kwenye tovuti na mitandao ya kijamii kufuatia kuongezeka kwa tishio la unyang'anyi wa kimtandao (blackmail). Wataalamu wa usalama wa mtoto na Shirika la Kitaifa la Uhalifu (NCA) wanaonya kuwa wahalifu wanatumia Akili...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Epuka kuonesha ncha za vidole vyako kwenye picha, kwani matapeli wa mtandaoni wanaweza kuiba alama zako za vidole

    Umekuwa ukiweka pozi la vidole viwili juu (maarufu kama Peace Sign) au lile pozi la Kikorea la kusugua vidole (Finger Hearts) kila unaporusha selfie mtandaoni? Jinsi AI Inavyofanya Kazi Zamani, ukipiga picha kwa mbali, picha ya vidole vyako ilikuwa ikionekana kwa ukungu (blurry) kwa jicho la...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Jumbe akishuka kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es salaam.

    Jeshi la Polisi lilifika Makao Makuu ya Chama na kumtaka David Djumbe kwa mahojiano. Jumbe akishuka kituo cha Polisi Oysterbay, Dar es salaam.
  10. W

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Ni kama kuna mlipuko wa homa ya tumbo unaendelea na mamlaka zipo kimya

    Hivi karibuni mimi pamoja na watu kadhaa wa karibu tumepitia tatizo la kiafya la kummwa na tumbo, kuharaha na wengine kutapika. Huu unaoneka sio ugonjwa wa kawaida ni kama kuna mlipuko wa homa ya tumbo. Kinachoumiza na kutisha zaidi ni ukimya mkubwa kutoka Wizara ya Afya na mamlaka za serikali...
  11. W

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mary Chatanda: Samia angenipa nchi dakika moja, ningeimaliza CHADEMA

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje kuharibu amani ya nchi. Akizungumza, Mei 18, 2026, kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea...
  12. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Umaskini wa Watanzania ni wa kutengenezwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimesema umasikini wa Watanzania ni wa kutengenezwa, kutokana na nchi kushindwa kujenga viwanda vikubwa vya kuchakata na kuongeza thamani Madini yanayozalishwa nchini, badala yake yanasafirishwa Madini ghafi nje ya nchi na kupeleka ajira za Watanzania...
  13. W

    JamiiForums Tanzania JF Kumbukizi: Kikwete alivyomtengua Uwaziri Anna Tibaijuka sakata la Escrow

    Aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Jakaya Kikwete, alipomtengua nafasi ya uwaziri Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Anna Tibaijuka baada ya sakata la Escrow.
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yapunguza bei ya mafuta baada ya kutokea maandamano

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza marekebisho mapya ya bei za mafuta, Katika mapitio hayo, bei ya dizeli imepunguzwa kwa Sh10.06 kwa lita, huku mafuta ya taa yakiongezeka kwa Sh38.60 kwa lita, wakati bei ya Super Petrol ikibaki bila mabadiliko. Mabadiliko...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Lutandula: Watu wa Utalii wanatumia hela nyingi za serikali hovyo kutangaza utalii nje ya nchi

    “Mimi kwa kweli waheshimiwa wabunge sina changamoto na watu wa utalii neno linaloitwa utalii sina changamoto nalo ombi langu wapunguze safari za kwenda nje kutangaza, wanatumia hela za serikali hovyo, utangazaji huu si umeshakuwa ni wa kwenye mtandao 2022/23 walichukua bilioni nane za serikali...
Back
Top Bottom