Recent content by Wild Flower

  1. W

    Kitila Mkumbo: Kama unataka kuwa tajiri usiombe kazi Serikalini

    Imeelezwa kuwa wakati Tanzania ikiwa na nguvu kazi kubwa ya watu milioni 33, sekta ya umma imeajiri chini ya watu milioni moja, jambo linalothibitisha kuwa serikali haiwezi kuwa injini kuu ya uzalishaji wa ajira. Hayo yamefafanuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof...
  2. W

    Kihongosi: Viongozi wa Siasa wa vyama tofauti tukikutana tunagonga 5, ukinuna unapoteza muda

    Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi ametoa onyo kali kwa watu wanaochochea vurugu nchini, akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia vitendo vinavyohatarisha amani ya taifa, huku akiwataka wananchi kuwa macho dhidi ya ushawishi wa watu wenye ajenda...
  3. W

    Katibu Mkuu CAF ajiuzulu

    Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Véron Mosengo-Omba amejiuzulu wadhifa huo baada ya kuhudumu kwa zaidi ya miaka 30. Katika taarifa yake kwa umma amesema amechukua uamuzi huo ili kujikita katika miradi binafsi na kwamba anaondoka na kuiacha CAF ikiwa imara kuliko wakati...
  4. W

    Singida: Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya wazazi CCM na Familia yake wanahofiwa kufariki, baada ya gari yao kusombwa na maji Mto Mang’onyi

    Watu wanne wamehofiwa kufariki dunia baada ya kusombwa na maji wakiwa kwenye gari jana majira ya saa 1 usiku March 26 2026. Akizungumza kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson amesema ajali hiyo imetokea Machi 26, 2026, katika eneo la daraja la Mto Mang’onyi lililopo...
  5. W

    Tanzania to introduce twice-yearly HIV injection, phase out standalone CTC clinics

    The introduction of the injectable drug Lenacapavir, alongside major reforms in the health service delivery system, marks a new phase in Tanzania's fight against HIV, with the government also planning to phase out specialised Care and Treatment Clinics (CTCs) to reduce stigma and improve access...
  6. W

    Stephen Wasira: Walioanza harakati za Urais 2030 wamezungumza na Mungu kwamba watakuwepo?

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akieleza kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia.
  7. W

    Akamatwa kwa kujifanya bubu na kuchangiwa Milioni 1.8

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata Ibrahimu Nzumbi Mugendi (31) Mkazi wa Kijiji cha Makere Wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma kwa tuhuma za kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu. Mtuhumiwa alifika Mkoa wa Mtwara tarehe 18.02.2026 na kufikia katika nyumba ya kulala wageni(jina...
  8. W

    CAF: Kenya haina Kiwanja chenye sifa za kutumika AFCON

    Ripoti ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imebaini mapungufu makubwa katika viwanja vya Kenya vilivyopendekezwa kwa ajili ya mashindano ya AFCON 2027. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, hadi Februari 2026, hakuna kiwanja, kati ya viwanja vitatu vilivopendekezwa, kilichofikia viwango vya Daraja la 4...
  9. W

    Mataifa matano Afrika yanapaswa kuilipa Marekani dola 15,000 kwa shabiki mmoja Kombe la Dunia

    Serikali ya Marekaninchini ya Rais Donald Trump inaweza kuwalazimu wasafiri kutoka nchi tano zilizofuzu Kombe la Dunia kulipa dhamana ya hadi Dola 15,000 ili kuruhusiwa kuingia nchini Marekani kwa ajili ya michuano hiyo. Jinsi Dhamana Hizi Zinavyofanya KaziDhamana za viza zinafanya kazi kama...
  10. W

    Pikipiki zenye Kelele na Taa kali zakamatwa Arusha

    Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Arusha imeanzisha operesheni maalum ya kukamata pikipiki zinazokiuka sheria za usalama barabarani, hususan zile zinazotoa kelele za milipuko na zilizofungwa taa zenye mwanga mkali. Hatua hiyo inalenga kuboresha usalama wa usafiri na kupunguza kero kwa watumiaji...
  11. W

    Askofu wa kwanza duniani mwanamke aapishwa rasmi

    Askofu Mkuu mwanamke wa kwanza Dame Sarah Mullally ameapishwa rasmi kuwa katika historia ya Kanisa la Anglikana duniani, akiongoza waumini takribani milioni 85. Ingawa alianza majukumu yake tangu Januari mwaka huu, hafla ya kuapishwa imefanyika kama sehemu ya kuthibitisha rasmi mwanzo wa...
  12. W

    Wakazi: Tunatengua hukumu ya kumlipa Baba Levo Tsh. Milioni 100, hukumu yenyewe tuliiona mtandaoni

    Msanii Webiro Wasira (Wakazi) amesema Wakili Peter Kibatala ameanza mchakato wa kutengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kumtaka amlipe fidia ya TZS milioni 100, Clayton Chipando (Baba Levo) kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na za kumkashifu kupitia...
  13. W

    Watu 24 wafakiri Pakistan baada ya basi kutumbukia kwenye mto Padma

    Takriban watu 24 wamepoteza maisha kufuatia ajali ya basi la abiria iliyotokea siku ya Jumatano, Machi 25, 2026, katika eneo la Daulatdia, wilaya ya Rajbari nchini Bangladesh. Ajali hiyo ilitokea wakati basi hilo likijaribu kupanda kivuko (ferry) ili kuvuka Mto Padma. Inaripotiwa kuwa dereva wa...
  14. W

    SI KWELI Limao inasaidia kupunguza idadi ya siku za hedhi?

    Kama ilivyo kwa watu wengi, nimekuwa nikisikia hadithi na imani mbalimbali za mitaani kuhusu matumizi ya limau. Hivi karibuni, niliamua kunywa maji ya limau kwa wingi. Lengo langu halikuwa kufanya majaribio ya kitabibu, bali ilikuwa ni sehemu ya utaratibu wangu tu wa kawaida. Huwa nimewahi...
  15. W

    Mchambuzi wa siasa, Paternus Niyegira: Kushangilia kifo cha kiongozi sio busara

    Mchambuzi wa masuala ya siasa na uongozi, Paternus Niyegira akiwa katika mahojiano na media ya Crown Media amesema kushangilia kifo cha kiongozi si busara akidai kuwa ni sehemu moja ya protest hivyo yeyote ila sio tabia njema hata kama ni adui yako. Lukuvi aliweza kushughulikia matatizo mengi...
Back
Top Bottom