Recent content by Wild Flower

  1. W

    JamiiForums Tanzania Wasanii walioitwa na Katambi leo wamesamehewa bado Anko T na Niffer ambao hawakufika

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Patrobas Katambi amesema wasanii na watu maarufu waliotikia wito wa kwenda kwenye kikao nae wamesamehewa makosa mbalimbali waliyokuwa nayo huku Jeniffer Jovin na Twalibu Bakari Anko T kutosamehewa kutokana na kutofika katika kikao hicho. Katambi amesema hayo...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

  3. W

    JamiiForums Tanzania Hamisa Mobetto: Sihitaji huruma ila Juma Lokole na Maimartha wananibully mtandaoni

    Hamisa Mobetto awataka Juma Lokole na Maimartha kuacha kumfanya kuwa content ameeleza kuchoshwa na kile alichodai kuwa ni bullying na harassment dhidi yake pamoja na familia yake kwenye mitandao ya kijamii mpaka imefikia hatua ya kumtumia ujumbe Dkt. Gwajima D ili ashughulikie swala hilo...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kama hili ndo daraja limejengwa jijini sipati picha huko Kijijini ndani ndani

    Shuhudia namna Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, alivyokagua daraja la Goloka B, lililopo kata ya Toangoma, lililojengwa kwa fedha za wananchi shilingi milioni 21, ili kuondoa adha ya wananchi kupoteza maisha kwa kukatiza katika mto huo. Chalamila baada ya kukagua ameagiza...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Rais wa Cameroon, Paul Biya anaongoza nchi akiwa hajulikani alipo

    Rais wa Cameroon, Paul Biya (91) hajaonekana hadharani kwa zaidi ya siku 60, lakini bado anaendelea kutekeleza majukumu yake ya urais akiwa nje ya nchi. Hali hiyo imewafanya watu wengi kujiuliza kuhusu afya yake, mahali alipo na jinsi serikali inavyoendeshwa wakati kiongozi huyo haonekani...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Handeni - Tanga mje yapi ndo maji yenu kati ya haya?

    Mvutano mkali wa kimtazamo umeibuka mtandaoni kati ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Bara John Heche, na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, kufuatia ubora wa huduma ya maji wilayani Handeni, mkoani Tanga.Mjadala huo umeibuka leo Agosti 11, 2026, baada ya Heche kusambaza video inayonyesha...
  7. W

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Nimeibiwa Laptop kwenye Treni ya SGR, wameniambia CCTV za kwenye behewa ni urembo tu, hazifanyi kazi!

    Nimesukumwa kuandika simulizi haya kwa uchungu na masikitiko makubwa baada ya kukumbana na mkasa wa kuibiwa vifaa vyangu vya kazi ndani ya treni mpya na ya kisasa ya mwendokasi (SGR), huku nikigundua kuwa mfumo wa ulinzi unaotangazwa kuwa na kamera za CCTV ndani ya mabehewa hayo haufanyi kazi...
  8. W

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wachimbaji madini mnataka Ruzuku wakati Harusi mnazifanya na Helikopta?

    Rais Samia Suluhu Hassan amekataa ombi la wachimbaji madini kuhusu kupewa ruzuku kutoka serikalini akitania kuwa wana pesa kiasi cha kufanya harusi kwenye helikopta.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Mdada wako wa kazi umempa password ya WIFI? Vipi kazi zinafanyika?

    Kwa mimi Nilijuta. Nilimpenda so nikampa smartphone WiFi iko home 24/7. Show niliona .. ndo alipoanza kubadilika.. kulala saa nane usiku, kuamka mpaka umwamshe. Vyombo unarudi unavikuta. inshort, kazi mpaka umwambie hivi hivi hagusi.. nashukuru Mungu aliondoka ila siwezi rudia makosa. Sasa huyu...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Tushavuka nusu ya mwaka, vipi mchongo wa kutimiza malengo yako unasomeka au tukupe mda zaidi?

    Wakuu Juni ndo hiyo inakaribia kukata tayari tumemaliza miezi sita ya mwanzo! Muda hautusubiri na umri unasonga. Huu ndio wakati muafaka wa kusimama na kujitathmini. Jikague Haraka: Zile ahadi za Januari zipo hatua gani? Kuna tabia zozote zinazokurudisha nyuma? Ufanye nini tofauti ili kutusua...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa Mtandaoni mmewahi kukutana na wateja matapeli, Ilikuwaje?

    Licha ya wateja kulalamika kuhusu matapeli wa biashara mtandaoni lakini pia kuna wateja matapeli. Kuna rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo sasa kuna siku akapata Delivery Kimara Temboni. Mteja akamwambia atalipia mzigo ukifika. Basi bwana boda akaja dukani kachukua mzigo kaelekea Kimara...
  12. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatishia Maandamano nchi nzima kufufua mchakato wa Katiba Mpya na Lissu aachaliwe

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kimetishia kuandaa maandamano ya nchi nzima yenye lengo la kushinikiza serikali kufufua mchakato wa Katiba Mpya na kuachiliwa huru kwa Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche...
  13. W

    JamiiForums Tanzania Unknown Number, The High School Catfish: Jinsi Mama alivyomdhalilisha Binti yake mtandaoni hadi kufikia hatua ya kumwambia ajiue

    Utachukua hatua gani ukigundua kuwa mtu anayekutishia na kukutukana mtandaoni kwa 'Fake ID', ni mtu wako wa karibu sana?" Kama bado hujatazama makala ya Netflix inayoitwa Unknown Number: The High School Catfish, keti hapa nikupe stori. Hii ni kisa cha kweli cha binti wa sekondari aliyeteswa...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Silaha Bandia ni kosa Kisheria

    Jeshi la Polisi limewataka wananchi kuacha matumizi ya silaha bandia, likisema vitendo hivyo ni makosa yanayokiuka sheria na vinaweza kuhatarisha usalama wa watu na mali zao. Akizungumza leo Juni 19, 2026 katika maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Mrakibu wa Polisi Kamisheni ya Upelelezi wa...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Kizimba kilichokuwa kimejengwa kwa ajili ya kupandishwa bendera ya CHADEMA kimebomolewa

    Kizimba kilichokuwa kimejengwa katika Kata ya Ramadhani, Jimbo la Njombe, kwa ajili ya kupandishwa bendera ya Chama wakati wa ujio wa Makamu Mwenyekiti, Mhe. John Heche, mkoani Njombe, kimebomolewa usiku wa kuamkia leo.
Back
Top Bottom