Nenda chuo husika cheki ka kuna nafasi kama zipo watakupa form ujaze na uambatanishe na barua pamoja na cheti six na form 4 then subiri kwa siku kadhaa alafu utajibiwa...mm nimejibiwa leo
Pia nakumbuka lg alishawahi kutoa curved tv iliyotumia OLED display pia baadae samsung akaja kutoa UHD display katika flati lake la kupinda pia na sku izi kuna QHD display mwenye idea kuhusu ili ??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.