Mkuu nafasi unaangaliaje..unaenda chuoni moja kwa moja physically kuwaulizia??Nenda kaangalie nafasi katika chuo unachotaka kuhamia, ikiwa kuna nafasi basi utatakiwa kuandika barua kwa mkuu wa chuo ya kuomba kuhamia chuo husika, ukiambatanisha copy za vyeti vyako na printed page ya TCU inayoonesha umechaguliwa chuo na kozi gani