Recent content by Wil2018

  1. W

    Watumishi tulio wengi tuna shindwa kulea watoto wetu na badala yake tuna watunza tu vizuri, madhara yake ni hatari

    Mtoa Mada nakubaliana na wewe kabisa hii tabia ipo kwa wa mama, na malezi mengi wameachiwa wa mama wa baba wengi Wanaamini akishatoa pesa shughuli imeishiwa hapo.
  2. W

    Dada zetu acheni kugeuza chumba cha kulala kuwa choo

    Hayo ndio maisha hali si ya mtanzania.
  3. W

    CHADEMA yatangaza Kupuuza Tamko la Jeshi la Polisi, Maandamano yako Pale pale

    Shida ni mtuhumiwa namba moja ni polisi kwa mujibu wa chadema raisi anaogopa nini kuunda tume ya kijaji mzizi huu wa fitina ukaisha?
  4. W

    Mwenye kujua dawa ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa anijuze

    Hyo ni tester ion homon ipo juu ya kiwango cha juu sana
  5. W

    Fedex hawataki kuutoa mzigo wangu kwa kisingizio cha TRA

    Speedaf ni free ila mzigo yao haizidi kg 6
  6. W

    Fedex hawataki kuutoa mzigo wangu kwa kisingizio cha TRA

    Bro FedEx nikikundi cha wahuni waliopo pale, clearence ya mzigo wa nataka 150,000 ambayo kimsingi ni unyonyaji manake kama umesafirisha mzigo wako na courier ni jukumu lake wewe kulipa kodi za serikali nayeye atoe mzigo.. Nexttime safirisha mzigo wako na DHL are the best bro ilasio wale wahuni...
  7. W

    Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?

    Hawana kosa hyo ni mbinu ya kibiashara
  8. W

    Jeshi la polisi limebariki huu wizi Kariakoo?

    Hapo polisi asilaumiwe kama wewe unajua kabisa huyu kiumbe sijawahi kuonana naye ananizuga ilistory ziende wewe nawe unaenda hvyohvyo kwanini unywe juice yake? hyo nitamaa yako imekuponza, yupo kazini anatafuta pesa nahyo ndio ameona njia yake yake ya haraka kuuza juice. Huyo jamaa ataakipelekwa...
  9. W

    Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

    Ndio maana huwa nasema mwanaume anaanza kufikiri vizuri akiwa na umri kuanzia 30+
  10. W

    Nifanyeje ili niache huu uraibu wa kucheza na watoto maana jamii inanichukulia tofauti

    Watoto wanapenda sana upendo, na wanajua flan Ana upendo wakweli hvyo ningumu watoto kuacha kukuzoea, hyo ni Baraka cheza na watoto furahi nao uongoze siku za kuishi Duniani kwafuraha, watoto ni Malaika wa hapa Duniani.
  11. W

    Ukiwa Chuo Kikuu haya ni muhimu ili usiwe kama "form 10" tu

    Wengi wao hawajui bado ni vilaza
  12. W

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Alikuwa kashanogewa na **** ya mrembo. Kwahiyo mambo mengine alikuwa anafanya kutokuwa na akili ya kiuwanaume
  13. W

    Ponzi Scheme utapeli unaopendwa na Watanzania wengi

    Wachawaendelee kupigwa, ukipenda vitu rahisi lazima upigwe na kitu kizito
  14. W

    Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

    Mimi ninaamini maisha mazuri yapo hapa hapa bongo, tuliza akili angalia fursa zitakazo kupa maokoto.
Back
Top Bottom