Recent content by Wickama

  1. Wickama

    Unaweza kuoa mama mwenye mtoto wa mwaka mmoja, halafu miaka 20 baadaye mtoto anakuambia: "Wewe si baba yangu" 🙄😏😏.Mnaotaka kuoa singo maza

    Wekeza kwenye ukweli. Ipo siku ataambiwa wewe sio babaake. Akikuuliza mwambie ukweli. Ila ukubwani atapima uliyomfanyia. Akikuta ulimlea bila zengwe na mapenzi bila tofauti na uliowazaa atakuheshimu na kukupenda sana
  2. Wickama

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Kwa binadamu wengi ardhi yenye chimbuko lenu kiukoo huwa inaleta "emotional link" ambayo haina thamani ya pesa. Refer Dr Livingstone, Chuma and Susi.
  3. Wickama

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    Mkuu, siku hizi ukiona Coaster imejaa waombolezaji inaenda kuhani msiba basi aminia >80% ni wakusanya data za jamaa kwao vipi??
  4. Wickama

    Niliposema Kitendo walichofanya Senegal katika AFCON 2025 FINAL kilikuwa cha Kipumbavu hamkunielewa, angalieni hizi 'Nyundo' walizopigwa na CAF

    There are many football fans globally who stand by Senegal. If you read their views in various platforms they also assert that Morocco rigged their way past Tanzania. My own opinion is that Morocco are bad and bitter losers. They got their penalty and squandered it anyway
  5. Wickama

    Namna ya Waislamu kufanya mijadala ya kidini na wasio kuwa Waislamu

    Hili ni kundi maalum linalotarajia kuwa kelele zao zitadumaza uislamu. Lina uratibu. Kikawaida vijana ASILIA wa dini hiyo siyo wenye lengo baya na uislamu. Hili ni kundi lenye nia ovu na linatumia vibaya umri wao. Yeyote mwenye uelewa anafahamu kuwa hujuma dhidi ya uislamu ziliishia kuzaa...
  6. Wickama

    Namna ya Waislamu kufanya mijadala ya kidini na wasio kuwa Waislamu

    Shk ukifatilia maudhui ya mada za kuikashifu Kuran na Uislam humu JF utagundua nyingi sio random. Zina chanzo kimoja. Quality na uwakilishaji unafanana. Kwamba Zina Uratibu. Wanaozileta humu ni vipaaza sauti tuu. Mabosi wapo kusoma kinachojiri. Kilicho sawa baina yetu na wasiokuwa sisi ni...
  7. Wickama

    Namna ya Waislamu kufanya mijadala ya kidini na wasio kuwa Waislamu

    Shk ukifatilia maudhui ya mada za kuikashifu Kuran na Uislam humu JF utagundua nyingi sio random. Zina chanzo kimoja. Quality na uwakilishaji unafanana. Kwamba Zina Uratibu. Wanaozileta humu ni vipaaza sauti tuu. Mabosi wapo kusoma kinachojiri. Kilicho sawa baina yetu na wasiokuwa sisi ni...
  8. Wickama

    Hakuna watu wa ovyo kama wakosoa imani za wengine hapa JF

    Mshana Jr, hizo harakati ni COORDINATED. Sio random
  9. Wickama

    Canada na Ufaransa zawalilia wawekezaji wa Kichina kuwekeza kwenye mataifa yao

    Mi nahisi anachokitaka Trump ni kum-frustrate mchina kuhusu supply chain ya mafuta ya Venezuela kama jamaa alivyomkaba koo kwenye rare earth minerals. Naona kwenye Soya Marekani yuko hoi anakusanya masoko mbadala sbb Mchina kahamia Brazil😅😅
  10. Wickama

    Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama

    Point yangu ni kuwa unamaliza risasi kwenye dini inayomkubali Yesu na mamaake lakini hujawahi kuigusa dini inayomkataa huyo Yesu na mamaake. Ni hayo tuu.
  11. Wickama

    DREAMING: AFCON Kilimanjaro climb

    Waheshimiwa najiuliza tuu kama taifa tukifadhili upandaji Mlima Kilimanjaro kwa bingwa wa Afcon kila ikitokea, jee kiutalii, kifedha na kitaswira ITATULIPA? (Picha hii ni AI generated)
  12. Wickama

    Canada na Ufaransa zawalilia wawekezaji wa Kichina kuwekeza kwenye mataifa yao

    Ninachokiona ni "fatigue" ya mataifa yaliyokuwa loyal kwa US kuuchoka ubabe wa Trump. Kwa mfano angalia issue ya Soya. Trump aliifanya China isione haja ya kuagiza soya ya Marekani. Roho mbaya tuu. Sasa Brazil ndiye anayeuza soya China. Hata issue ya Venezuela ni kumkomoa Mchina.
  13. Wickama

    Canada na Ufaransa zawalilia wawekezaji wa Kichina kuwekeza kwenye mataifa yao

    Lakini Vermont ni State ambayo ni "very white" kwa maana hiyo sio rahisi influence ya mchina kusomeka
  14. Wickama

    Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama

    Nimekusoma. Ziko dini 3 kwa sasa Ulimwenguni ambazo mizizi yake ni Nabii Ibrahim. Uyahudi, Ukiristo, na Uislamu. Kuwa mkweli kujibu swali linalofuata. Katika dini hizi 3, ni ipi ambayo haimwamini kabisa Yesu kwamba ni mtume. Bali kwamba alikuwa tuu "kivuruge"? Asiye na mafungamano yoyote na...
  15. Wickama

    Uislamu bila propaganda hauwezi kusimama

    On a similar note, uislamu hautegemei DNA link ya Muhammad to Ishmael, Ibrahim, Adnan, Samson, Mkwawa au Ghengistan. Uislam unategemea Quran & Sunna. Nasaba za mitume WOTE zinapotajwa ni kutusaidia tuu kujua chimbuko lao. Sio kwamba chimbuko lao ndio tukufu
Back
Top Bottom