Wekeza kwenye ukweli. Ipo siku ataambiwa wewe sio babaake. Akikuuliza mwambie ukweli. Ila ukubwani atapima uliyomfanyia. Akikuta ulimlea bila zengwe na mapenzi bila tofauti na uliowazaa atakuheshimu na kukupenda sana
There are many football fans globally who stand by Senegal. If you read their views in various platforms they also assert that Morocco rigged their way past Tanzania. My own opinion is that Morocco are bad and bitter losers. They got their penalty and squandered it anyway
Hili ni kundi maalum linalotarajia kuwa kelele zao zitadumaza uislamu. Lina uratibu. Kikawaida vijana ASILIA wa dini hiyo siyo wenye lengo baya na uislamu. Hili ni kundi lenye nia ovu na linatumia vibaya umri wao. Yeyote mwenye uelewa anafahamu kuwa hujuma dhidi ya uislamu ziliishia kuzaa...
Shk ukifatilia maudhui ya mada za kuikashifu Kuran na Uislam humu JF utagundua nyingi sio random. Zina chanzo kimoja. Quality na uwakilishaji unafanana. Kwamba Zina Uratibu. Wanaozileta humu ni vipaaza sauti tuu. Mabosi wapo kusoma kinachojiri. Kilicho sawa baina yetu na wasiokuwa sisi ni...
Shk ukifatilia maudhui ya mada za kuikashifu Kuran na Uislam humu JF utagundua nyingi sio random. Zina chanzo kimoja. Quality na uwakilishaji unafanana. Kwamba Zina Uratibu. Wanaozileta humu ni vipaaza sauti tuu. Mabosi wapo kusoma kinachojiri. Kilicho sawa baina yetu na wasiokuwa sisi ni...
Mi nahisi anachokitaka Trump ni kum-frustrate mchina kuhusu supply chain ya mafuta ya Venezuela kama jamaa alivyomkaba koo kwenye rare earth minerals. Naona kwenye Soya Marekani yuko hoi anakusanya masoko mbadala sbb Mchina kahamia Brazil😅😅
Point yangu ni kuwa unamaliza risasi kwenye dini inayomkubali Yesu na mamaake lakini hujawahi kuigusa dini inayomkataa huyo Yesu na mamaake. Ni hayo tuu.
Waheshimiwa najiuliza tuu kama taifa tukifadhili upandaji Mlima Kilimanjaro kwa bingwa wa Afcon kila ikitokea, jee kiutalii, kifedha na kitaswira ITATULIPA? (Picha hii ni AI generated)
Ninachokiona ni "fatigue" ya mataifa yaliyokuwa loyal kwa US kuuchoka ubabe wa Trump. Kwa mfano angalia issue ya Soya. Trump aliifanya China isione haja ya kuagiza soya ya Marekani. Roho mbaya tuu. Sasa Brazil ndiye anayeuza soya China. Hata issue ya Venezuela ni kumkomoa Mchina.
Nimekusoma. Ziko dini 3 kwa sasa Ulimwenguni ambazo mizizi yake ni Nabii Ibrahim. Uyahudi, Ukiristo, na Uislamu. Kuwa mkweli kujibu swali linalofuata. Katika dini hizi 3, ni ipi ambayo haimwamini kabisa Yesu kwamba ni mtume. Bali kwamba alikuwa tuu "kivuruge"? Asiye na mafungamano yoyote na...
On a similar note, uislamu hautegemei DNA link ya Muhammad to Ishmael, Ibrahim, Adnan, Samson, Mkwawa au Ghengistan. Uislam unategemea Quran & Sunna. Nasaba za mitume WOTE zinapotajwa ni kutusaidia tuu kujua chimbuko lao. Sio kwamba chimbuko lao ndio tukufu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.