Mikoa mingi humu Bongo ukizaa kwenye ndoa ya mwenzio basi mtoto ananasibishwa na kule ulikozaa na hata jina ni la kule 100%. Huu utaratibu nauunga mkono sbb ulimhakikishia mtoto ukoo na ndugu wa kumlea na kumstawisha. DNA ni jambo jipya. Ni vigumu kuukuta ukoo usio na "wakuja"
Mkuu umeutendea "Waja Leo" haki. Kuna kitu kimoja cha kuongeza. Kwa maoni YANGU: lafudhi ya Kiswahili cha Tanga hapa Afrika Mashariki ndiyo NAMBARI MOJA
Huu mradi ni mzuri sana kwa Bongo, Uganda na jiji la Tanga. Uganda wana uhakika wa ku-supply wese la refinery. Tanzania inajiandaa kuchimba wese lake kule bonde la Eyasi. Kutoka Eyasi Tz itatakiwa tuu kuunganisha wese lake hadi bomba la EACOP ambapo sio mbali. Pia manufaa ya kuzalisha vitu...
Exactly. Sasa Somalia, Djibout, Ethiopia kila mmoja ana mipango ya kujenga refinery yake. Hii ligi ya refineries itakuwa kubwa. Uganda wanajenga yao wakiilenga Rwanda na DRC. Biashara itakuwa ngumu
Total Energies wanamiliki refineries Ulaya ambazo shughuli yao kubwa ni kuagiza wese ghafi kwa bei ya chini, safisha, kisha uzia Afrika nk kwa bei juu. Ngoja tuone kama watauza wese lao kwa bei chini kwa Dangote
Okay, ni vigumu kujua wenye hisa kubwa kwenye haya mafuta ya kutoka Uganda (yaani wafaransa) wao walitaka wese ghafi liende wapi! Kwa Bongo japo kweli kuikosa hii refinery inauma lakini kwa bahati nzuri zipo dalili nzuri za kupata wese letu bonde la ziwa Eyasi kule Manyara na hata Mkoani Rukwa...
Wekeza kwenye ukweli. Ipo siku ataambiwa wewe sio babaake. Akikuuliza mwambie ukweli. Ila ukubwani atapima uliyomfanyia. Akikuta ulimlea bila zengwe na mapenzi bila tofauti na uliowazaa atakuheshimu na kukupenda sana
There are many football fans globally who stand by Senegal. If you read their views in various platforms they also assert that Morocco rigged their way past Tanzania. My own opinion is that Morocco are bad and bitter losers. They got their penalty and squandered it anyway
Hili ni kundi maalum linalotarajia kuwa kelele zao zitadumaza uislamu. Lina uratibu. Kikawaida vijana ASILIA wa dini hiyo siyo wenye lengo baya na uislamu. Hili ni kundi lenye nia ovu na linatumia vibaya umri wao. Yeyote mwenye uelewa anafahamu kuwa hujuma dhidi ya uislamu ziliishia kuzaa...
Shk ukifatilia maudhui ya mada za kuikashifu Kuran na Uislam humu JF utagundua nyingi sio random. Zina chanzo kimoja. Quality na uwakilishaji unafanana. Kwamba Zina Uratibu. Wanaozileta humu ni vipaaza sauti tuu. Mabosi wapo kusoma kinachojiri. Kilicho sawa baina yetu na wasiokuwa sisi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.