Kazi niliitwa sasa kama ICT Officer na niliyoajiriwa kama Tutor ambayo ndo nafanya sasa ,zote mbili nilituma maombi huko nyuma.So maombi ya kazi ya ICT officer nilituma kabla sijaariwa serikalini.Hivyo sikupitisha barua kwa mwajiri mana sikua na ajira kipindi hicho.Na kazi zote mbili...
Kwa sasa niliajiriwa wizarani kama tutor naenda kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya kama ICT-Officer.Hizo kazi mishahara yake ni tofauti.Ya kwanza ni TGS D na ya pili ni TGS E
Habari za kazi wadau wa jamii forum.Mimi nilibahatika kupata ajira serikalini mwezi wa 6 mwaka huu.Lakini awali nilifanya maombi ya kazi sehemu mbalimbali na hatimaye hivi majuzi tume ya ajira imetoa jina langu kua nimepata kazi nyingine ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo kazi ya sasa ina mshahara...
Hi guys,
Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa kazi serikalini.Nimeangaika miaka 3 huku natafuta kazi.Nilikua napiga temple private companies.Matusi,dharau na kebei ni jadi ya baadhi ya kampuni binafsi.Nilikua nakua mvumilivu lakini nikazidi kuaply kazi serikalini.Hatimaye...
Nimekuwa nikitafakari sana juu ya nchi yangu ya Tanzania.Nchi iliyojaliwa kila aina ya rasimali,nchi yenye amani inayoridhisha ukilinganisha na nchi nyingine lakini ni nchi iliyojariwa viongozi wachumia tumbo.Sisi watanzania ni nani aliyetoroga?Je kwa maisha haya ,kizazi kijacho kitakuwaje?Je ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.