Mkuu kwa asilimia kubwa una gerd.
Gerd ni ugonjwa wa kuwa na asidi nyingi tumboni.kabla ya kuwa na chronic gerd unakuwa tayari na acid reflux.
dalili zake
1)kuhisi kiungulia
2)maumivu ya kifua sehemu za moyo yasiyoelezeka pamoja na mkono wa kushoto kuuma.
3)chakula huwa na hali ya kurudi nyuma...
Mkuu hio ilikuwa first line treatment na kama umemaliza heligo kit wiki mbili mfululizo na bado unaumwa. Nenda hospitali ukapime tena hao h pylori kama bado wapo.kama hutojali ingia second line treatment( quadruple therapy) na ndo wengi wanapoponea hapo.
Quadruple therapy dosage(10 days-14 days)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.