Mama Ndalichako tusaidie Marian Girls wanataka kutuibia wazazi bila aibu

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Naandika kwa niaba ya wazazi 115 wa watoto wa Pre-form V mwaka 2020 ambapo watoto wanatakiwa kujiunga na form five 24/7/2020 baada ya kumaliza Pre V. Watoto wetu walijiunga na Pre V mnamo tarehe 8/2/2020 ambapo tulilipa 1.6m kama gharama za tuition, malazi na chakula ambazo ni kwa ajili tu ya Pre V tu. ambapo watoto wangesoma mpaka mwezi wa sita kama kusingekuwa na Covid. Baada ya Covid watoto walirudi nyumbani tarehe 17 March hivyo walisoma kipindi cha wiki tano tu,

Jana Headmistress Lightness Massawe akafungua group na kutuunga wazazi wote 115 ambao tuna watoto Pre V ambapo hatuna uwezo wa ku comment isipokuwa yeye na admin wengine watatu. Kisha wakatutumia ujumbe kuhusu kufungua shuke na kuahidi kutoa maelekezo ya ada leo.

Ilipofika leo wakatuma attachment ya utaratibu wa ada kama ifuatavyo.

1. Ile Tshs 1.6 tuliyolipa kwa ajili ya Pre V waliyosoma wiki tano hawajaiongelea kabisa kwamba imezima.

2. Ada kamili ya Form V slip attached inatakiwa ilipwe now yani wanapokwenda tar 24/6 tuwe tumeshalipa ada ya 24July.

Namba ya Head Mistress 0764775014

Kwa niaba ya wazazi
 

Attachments

  • 843082006(1).pdf
    563 KB · Views: 45
Kwa kweli awamu hii tunaishukuru sana hasa my wetu. Kitu cha kuzingatia hapo nyie lipeni hiyo ada hakuna namna kwani wao ndio wameleta huo ugonjwa mbona nyie mlikuwa mnalipwa mshahara pamoja na kuwepo corona? Mnafikiria wao wangeishije? Lipa vinginevyo hamisha mtoto
 
Kwa kweli awamu hii tunaishukuru sana hasa my wetu. Kitu cha kuzingatia hapo nyie lipeni hiyo ada hakuna namna kwani wao ndio wameleta huo ugonjwa mbona nyie mlikuwa mnalipwa mshahara pamoja na kuwepo corona? Mnafikiria wao wangeishije? Lipa vinginevyo hamisha mtoto

Labda ndugu hujasoma uzi vizuri. Watoto sasa hivi wanarudi kumalizia Pre V then July 24 ndio waingie Form V. Kuna haja ya kulipa sasa hivi wakati ndio anaenda kumalizia Pre V?
 
Poleni sana, ila kama ilikuwa ni kwa ajili ya pre 4m 5 tu. Na sasa wanaenda form 5 kamili basi hiyo imeisha.
 
FUNGUENI GROUP LINGINE KISHA MUWAINVITE.

Baada ya hapo wekeni kikao kwenye group kwa umoja wenu muwaulize kuhusu pesa ya tuition.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiasi sio wastarabu wamefungua group ma admin ni wao wenyewe wametupa ujumbe na hatuwezi ku comment. Wangekuwa wastarabu wangetupa room ya ku comment ndo tumeona tulete uzi jamvini
 
Poleni sana, ila kama ilikuwa ni kwa ajili ya pre 4m 5 tu. Na sasa wanaenda form 5 kamili basi hiyo imeisha.

Wanaenda kuendelea na Pre V mpaka tarehe 27 July ndiyo waingie rasmi wale wengine wakiingia Form 6
 
Kwa kweli awamu hii tunaishukuru sana hasa my wetu. Kitu cha kuzingatia hapo nyie lipeni hiyo ada hakuna namna kwani wao ndio wameleta huo ugonjwa mbona nyie mlikuwa mnalipwa mshahara pamoja na kuwepo corona? Mnafikiria wao wangeishije? Lipa vinginevyo hamisha mtoto

Pre form 5 ipo kwenye sylbus ya serikali. Ada ya pre form 5 itegemewe kulipa salary za walimu kweli ,,Hizi shule za dini zimejengwa kwa sadaka ila bado zinaibia wananchi ada na sadaka
 
Kiasi sio wastarabu wamefungua group ma admin ni wao wenyewe wametupa ujumbe na hatuwezi ku comment. Wangekuwa wastarabu wangetupa room ya ku comment ndo tumeona tulete uzi jamvini
Kama umenielewa, chukua namba za wenzako fungueni group kisha muwa add hao viongozi wa shule. Muwasilishe mawazo yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiasi sio wastarabu wamefungua group ma admin ni wao wenyewe wametupa ujumbe na hatuwezi ku comment. Wangekuwa wastarabu wangetupa room ya ku comment ndo tumeona tulete uzi jamvini
Muendeeni inbox wote aache ujinga wakufunga mlango
Hiyo shule ipo wap? Jtatu nifike nikamuone mwenyewe wtz wamekua waoga Sana pumbavu hadi mnatia aibu
 
Muendeeni inbox wote aache ujinga wakufunga mlango
Hiyo shule ipo wap? Jtatu nifike nikamuone mwenyewe wtz wamekua waoga Sana pumbavu hadi mnatia aibu

Marian Girls si iko Bagamoyo? Ni watu wa ajabu kabisa
 
Back
Top Bottom