Recent content by Wetho

  1. W

    Baada ya Dr. Slaa kuzungumza, Mbowe kufunguka

    Kufunguka kipindi hiki cha kainaonyesha dhahili jazba ya kukosa kuteuliwa kugombea urais. Nawashsuri viongozi wa ukawa waachane nae. Tuhuma za uchafu wa lowasa zinatakiwa kijibiwa NA CCM.
  2. W

    Barabara ya Ali Hasan eneo la Ubalozi hadi Salenda ni kero

    Barabara hii imekithiri kwa foleni hasa nyakati za jioni kutokea maeneo ya mwenge kuelekea posta. Askari wa barabarani wamekuwa wakitumia muda mwingi kuyaita magari yanayotokea mjini. Tunawaomba hawa maaskari wakumbuke kuwa hata hawa wanaotoka maeneo ya kawe mwenge pia wanatoka makazini kuwahi...
  3. W

    Barabara ya Ali Hasan eneo la Ubalozi hadi Salenda ni kero

    Hii barabara ya Ali Hasan hivi sasa imekithiri kwa foleni hasa unapotoka Mwenge kuelekea posta nyakati za jioni. Magari yamekuwa yakiitwa ya upande mmoja, yale yatokayo Posta kwenda Mwenge kwa muda mrefu. Hii inasababisha upande mwingine kukaa muda mrefu kwenye foleni. Tunawaombeni askari...
  4. W

    Kinana na Nape washindwa kuhutubia Maroroni Arusha

    Wakili tu kushindwa, wananchi wanatambua haki zao. Kitembea na fisi kwenye mikutano yao ni ushirikina.
  5. W

    Werema, Tibaijuka, Muhongo Walisahau Ukweli Huu Muhimu; Wengine Waukumbuke...

    Hoja yako ni nzuri, inahitaji kiongozi mbabe na mwenye uchungu na taifa na mzalendo wa kweli. Pia na hata sisi wananchi tunapaswa kuungana kwa pamoja kukemea haya bila kuogopa mabomu ya machozi. Nadhani yule aliyesema ukishindwa kulipa 200 piga mbizi anaweza kuyasimamia haya.
  6. W

    Business ideas (Bure)

    Nadhani unaweza aanzisha kuuza nafaka hapo mtaani kwako.
  7. W

    Hujuma Pantoni za Kigamboni

    Kivuko cha MV Magogoni tunavyokiona wakazi wa kigamboni, hakistahili kufanya kazi za kusafirisha abiria. mara nyingi kinapoteza mwelekeo, na hata kushindwa kupaki kwenye gati lake. Viongozi wapo na tatizo la kivuko hiki naamin wanlijua bado wako kimya wanasubili maafa yatokee waje na matamko na...
  8. W

    Madai ya Nyerere Kumkataa Lowassa, ukweli na ushahidi huu hapa

    Aisee naona umedhamiria kumpalilia huyu Lowasa, bado sijaona kama ni mwadilifu. Kumchagua ni kuendeleza ufisadi.
  9. W

    Ikulu ya Dar ihamishwe ndani ya miezi 18 kuanzia 01/01/2015

    Mkuu mmbona mnachanganya mmada tuongelee iikulu.
  10. W

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Wadau nipeni matokeo ya pale Rorya, hasa ile kata ya Nyamunga.
  11. W

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Haya ndio mabadiliko tunayohitaji. vijana hata katiba bendekezwa tufanye kweli.
Back
Top Bottom