Simu nyingi za Samsung zinashida kwenye network card.. Mara nyingi network card zake huwa hazina nguvu na huanza kufa mapema.. Ukiona simu yako ya samsung inaanza kupoteza network au inakamata kwa chenga ujue ndio inaelekea kufa.. hapo itaendelea hivyo huku ikipungua nguvu hadi ife kabisa kwa...
Pia kwanini ukinunua luku haiwezi kujiingiza yenyewe kama kwenye ving'amuz vya tv?? Mfano ukinunua bando la startimes kwenye simu, automatically kingamuzi chenyewe kinaji unlock, hauna haja ya kwenda tena kwenye kingamuz uanze kuingiza manamba.. Inabid mbadilike.. pia itakua rahisi kwa mtu...
tpaul tupe mrejesho.. ni kweli umepona?? hiyo hali haijarejea tena maana kuna dawa nyingine unapaka zinasaidia ndan ya miezi miwili afu mziki unaanza tena
Mteja ni mfalme.. Inabd muwe mnajitahid hata ku encourage watu wajiunge na umeme.. muwe mnatoa hata na mikopo wakat wa kujiunga na mteja alipe taratibu kama dawasco wanavyofanya.. Hapa kazi tu.. Magufuli oyeeee! Muchape kazi sio maneno mengi.. muwe wabunifu.
Magufuli naomba pita nao hawa Tanesco Kibaha maana hawako serious na kazi.. Wakiniunganishia mimi umeme haraka ndan ya zile siku 14 hawaon watakua wanaongeza faida kwa shirika kuliko hivi wanavonifanyia??? Tanesco inabd mjiendeshe kibiashara.. Muwe kama voda au tigo.. Mteja ni mfalme.. Muwe...
Hivi mchakato wa kuunganishiwa umeme unachukua mda gani???.. Ninaishi kiluvya na kwa maeneo yetu huwa tunaunganishiwa umeme na Tanesco Kibaha.. Sasa tangia nipeleke fomu zangu hapo kibaha Kabla ya Xmass had leo huyo surveyor sijamwona wakati waliniambia atakuja ndan ya wik 2.. sasa mnataka...
Manesi wa hospitali ya Kairuki wamekuwa wakiwajibu vibaya wagonjwa na pia ndugu wa wagonjwa.
Pamoja na kutoruhusu watu kulala na wagonjwa wao, manesi ambao walitakiwa wawe wanawatembelea wagonjwa nyakati za usiku huwa hawafanyi na hata mgonjwa akihitaji msaada nyakati za usiku hawafiki hadi...
Nina mgonjwa wangu nilimpeleka pale hospitali ya kairuki juzi saa 6 mchana, alikua anaumwa sana sanaa lakini cha kushangaza wao walivyompokea walimwekea drip tu na wakasema wamechukua vipimo na hakuna kingine kilichofanyika juu ya mgonjwa wangu zaid ya kumpa kitanda alale asubirie kesho yake...
Kiwanja kinauzwa Kigamboni Gezaulole Magengeni. Kina ukubwa wa 12.9mx27.3m. Kipo karibu na barabara ya lami..
Kimezungushiwa ukuta wa course 4 na kuna kisima cha maji kilichojengewa.
Bei 13M.. kwa maelezo zaid piga simu 0719960810.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.