Recent content by wema sanga

  1. W

    HESLB hizo bilioni 780+ mlizoidhinishiwa na serikali kwa mwaka 2023/2024 mmewapa wanafunzi gani?

    Unachosema ni kweli Mimi ni mzaz mwanangu kakosa mkopo inanighalimu sana hata sielewi kabisa!!
  2. W

    Mrejesho mtaji wa laki 3: Nimeamua kuuza biashara ya matunda na genge

    Hbr za Leo wandugu ,nahitaji meza kariakoo niweze kujikimu naona mambo magum
  3. W

    Mwaka huu 2023 umekupa funzo gani kubwa katika maisha yako?

    Nami nimejifunza kwamba yeyote anaweza kubadilika haijalishi
  4. W

    Soko: Watumiaji wa mwisho wana nguvu ya kuamua bidhaa gani itumike wapi

    Kwa mfano mafutaa ya Nazi ya parashute ,sijui ya mwilin au kichwani?
  5. W

    Jumapili kama ya leo ilikuwa mwanzo na mwisho kwenda kanisani na sitatoa sadaka kamwe!

    Yaani we ni mtu wa ajabu sana yaan unadharau maumivu ya mamaako ,pole sana huenda mama asinge kufa Kwa kifupi umemuua mamako,ulaaniwe sana
  6. W

    Naomba ushauri kwa hili wakuu

    Pole sana ,mfungulie mkeo biashara angalau ugumu wa maisha upungue
  7. W

    Msaada: Mtoto wangu ana tabia ya kupiga wageni na kusema 'toka kwetu'

    Pole sana ,usimchekee huyo mtoto atakuaibisha mchape usimdekeze!!!
  8. W

    Unampenda mtoto yupi wa kike au wakiume ?

    Watoto ni zawadi kutoka kwa mungu,napenda jinsia zote
Back
Top Bottom