Recent content by Well

  1. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    http://www.onewayadventures-tz.com website yetu ila izo climbing price ni kwa wazungu,unaweza kuona apo vitu mbali mbali.karibu Kilimanjaro,asante
  2. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    Ndio tunakupeleka siku tano au sita utapanda kaka mpaka kileleni
  3. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    Ndio,ila ukitaka kufika kileleni ni siku tano au sita,tunakupeleka ndugu
  4. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    Ndio,utafika kituo cha kwanza (mandara) utaenda mbele kidogo kilometa moja (maundi crater) then utarudi chini getini ulipo anzia na kuonda,kwa kiasi hicho hautaweza kwenda mbele zaidi ya hapo,Asante na karibu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    Your welcome friend,you will enjoy a lot and having wonderful experience,unforgettable memories Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    Nimeamua kuandika kwa kiswahili ili kila mtanzania aelewe kaka,asante sana kwa mtazamo wako. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    Nilishatuma kaka,sema hukuiona apo juu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    Ndio utapata, nitafute 0762283253 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Well

    Safari ya mlima Kilimanjaro kwa siku moja

    UTALII WA NDANI UANZE NA MTANZANIA MWENYEWE NJIA;MARANGU ROUTE(MAKAO MAKUU YA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO) •55000 Tzsh (kwa mtanzania MMOJA) INAJUMUISHA -Malipo ya hifadhi -Malipo ya muongoza watalii Haijumuishi -Usafiri -Chakula Utafurahia mwenyewe Kwa maelezo zaidi fungua hiyo picha...
  10. Well

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Mambo vip,ni check whatsapp kwenye no 0762283253 apo kwenye banda nitakusaidia (Ramani za mabanda ya kila aina ya mnyama afugwae pia yanapatikana). Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    Ninazo za kutoka ufaransa improved,karibu sana,
  12. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    Asante,karibu Sana! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    Naomba kujua nikiasi gan cha kuku ambao utawafuga kama ni 200 au 500 na ni wa nyama au mayai. Pia upande wa estimation,naomba kujua Naomba kujua nikiasi gan cha kuku ambao utawafuga kama ni 200 au 500 na ni wa nyama au mayai. Pia upande wa estimation,naomba kujua bei ya bidhaa hizi hapo ulipo...
  14. Well

    Jipatie ramani bora ya banda la kuku

    OK,asante nitaziweka rafiki! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom