Si baba ni baba tu right mgejua watoto wawatu wanavyoteseka huko mtaani,msingeongea hvyo..ni wanawake wengi sana wanatelekezwa na waume wao,hyo itakuwa fundisho kwa wanaume wengine?
Hili bunge kwa ujumla naona kama wanatuchezea tu wananchi,wameshindwaje kukaa na kuyamaliza wakati wanakutana baa na kuongea vizuri haswa,,so shame bunge la tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.