Tanzania ni nchi isiyokuwa na ideology kwa sababu ina mchangyiko mkubwa sana wa watu, Bantu, Cushtic, Nilotic, Arabs, hindis, na mchanganyiko wa hao. Hakuna ethnicity kubwa tanzania au kabila kwahiyo watu wanakosa kitu cha kujitambulisha nacho hivyo uzalendo au ule utambulisho umepotea. Pia...