Recent content by ween

  1. ween

    Hospital ya Hindumandal Dar es Salaam

    Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hapa. Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa wasiotumia bima anisaidie.
  2. ween

    Pascal Mayalla aitaka TCRA iufungie mtandao wa Twitter kwani kuna mambo machafu yanayoendelea huko

    Hapa Ramadi whatsaap imegoma na fb ni huku tu au
  3. ween

    Matumaini Mapya

    Nimekutana na hii ,,tafadhali bonyeza link. Soma mpka mwisho kisha. Tupe maoni yako http://mtanzania.co.tz/wanasayansi-wapata-njia-kutibu-ukimwi/amp/
  4. ween

    Mvumbasi Dawa inayotibu magonjwa mengi

    , nimekua nikiskia mmea huu unaojulikana kwa jina la mvumbasi hutibu magonjwa mengi, je kunaukweli wowote kuhusiana na tetesi hizo??? Naomba mtufahamishe unatibu nini na maandalizi yake yako vip ktk kila kutibu magonjwa hyo
  5. ween

    Mbinu za kupata mtoto wa kike

    Nisaidie nifanyeje
  6. ween

    Mbinu za kupata mtoto wa kike

    Habari ndg zangu, Nimeleta kwenu uzi huu mnisaidie jinsi/mbinu ya kupata mtoto wa kike kwa kutumia karenda. Mwezi wa 4 niliona siku zangu za hedhi tarehe 15, Mwezi Wa 5 niliona Siku zangu za hedhi Tarehe 21,(ktk mwez huo Wa 5, nilikutana na mwenza wangu Siku ya 10,11,12,13,na 15, tangu siku ya...
  7. ween

    Tujuzane makup zenye ubora thabiti na bei zake

    Ndg zangu leo tuongelee aina za vifaa vya makup zilizobora na bei zake Naanza ...lipstic aina ya huda," hudumu masaa 24, no nzito ukipaka haiachi alama bei elf 5, Tuendendelee kujuzana vingine kama wanja ,poda, brushes, nk kwa mfumo huu
  8. ween

    Natafuta sehemu ya kununua viatu vya kimasai kwa bei ya jumla

    Karume wanauza,elf 8 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. ween

    Natafuta sehemu ya kununua viatu vya kimasai kwa bei ya jumla

    Sawa sh ngapi Sent using Jamii Forums mobile app
  10. ween

    Natafuta sehemu ya kununua viatu vya kimasai kwa bei ya jumla

    Anauzaje Sent using Jamii Forums mobile app
  11. ween

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Mnisadie app ya kuedit video Sent using Jamii Forums mobile app
  12. ween

    Natafuta sehemu ya kununua viatu vya kimasai kwa bei ya jumla

    Wakuu naomba anaefahamu wapi kwa Dar naweza kupata viatu vya kimasai kwa bei nafuu na iwe bei ya jumla, nahitaji kununua
  13. ween

    Madactari njooni hapa

    Sasa umefrahi nini??kuuliza si ujinga Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom