Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hapa.
Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa wasiotumia bima anisaidie.
, nimekua nikiskia mmea huu unaojulikana kwa jina la mvumbasi hutibu magonjwa mengi, je kunaukweli wowote kuhusiana na tetesi hizo??? Naomba mtufahamishe unatibu nini na maandalizi yake yako vip ktk kila kutibu magonjwa hyo
Habari ndg zangu,
Nimeleta kwenu uzi huu mnisaidie jinsi/mbinu ya kupata mtoto wa kike kwa kutumia karenda.
Mwezi wa 4 niliona siku zangu za hedhi tarehe 15,
Mwezi Wa 5 niliona Siku zangu za hedhi
Tarehe 21,(ktk mwez huo Wa 5, nilikutana na mwenza wangu Siku ya 10,11,12,13,na 15, tangu siku ya...
Ndg zangu leo tuongelee aina za vifaa vya makup zilizobora na bei zake
Naanza ...lipstic aina ya huda," hudumu masaa 24, no nzito ukipaka haiachi alama bei elf 5,
Tuendendelee kujuzana vingine kama wanja ,poda, brushes, nk kwa mfumo huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.