Recent content by wealthier

  1. W

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Njoo whatsapp nikutumiemkuu. Video zimekataa mafaili ni makubwa. 0762230515 whatsapp
  2. W

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Muonekano kwa ndani
  3. W

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Dalali_wa_ kuuza_ nyumba. NYUMBA_INAUZWA Chanika_Lubakaya _____________________________ NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYA KULALA NA CHUMBA KIMOJA NI MASTER BEDROOM _____________________________ # Sebule kubwa # Dining room # Jiko la kisasa # Public toilet # Kisima kipo # Full tiles na gypsum #...
  4. W

    Upelelezi kabla ya kuoa

    Wahehe wamekaaje jamani. Nadhani wanafaa. Na vipi kuhusu Waha?
  5. W

    Chemsha Bongo!

    The fifthy girl is playing with Kate
  6. W

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    tegeta kwa ndevu kwenye ghorofa linaitwa GodB pale pembezoni mwa daraja Banc ABC wana tawi
  7. W

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Bosses naombeni kueleweshwa jinsi ya kudownload mt4 katika Pc. nimejaribu kugoogle nimeelekezwa nikafuata maelekezo lakini inagoma kurun program niliyopakua. naomba msaada wakuu jinsi ya kuinstall mt4. asanteni sana.
  8. W

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Tafuta Uzi unaitwa, "Forex; Biashata yenye utajiri mkubwa duniani ambao hakuna benki yoyote itataka ujue" upon humu humu jf we usearch una kila kitu unachotaka usome mwanzo had I mwisho kila kimo mule.
  9. W

    Usiku huwa kuna ninii

    Wakati unasali tumia sana jina LA Yesu. Hiyo ni miongoni mwa silaha za kiroho. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. W

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Sasa si ni yaleyale mkuu. Benki so wanzuia usizitoe? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. W

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu ulifanyajefanyaje tumegee siri nasi tufungue maana haya mabenki hivyo sana Sent using Jamii Forums mobile app
  12. W

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu tuwekee link yake Sent using Jamii Forums mobile app
  13. W

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu Lod mm natumia simu. Naomba nikusumbue uniandikie walau tittles zake ili nividownload. Yaani hapo sioni kitu wameandika unsupported. Please mkuu and thanks Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom