Tulipo mkosa Jaji Benard Luanda nikajua mfumo wetu wa kuamini watu wa kusimamia haki kwa hakika ni sanaa tu.
Toka kipindi cha Jakaya, huyu Jaji alikuwa anakwepwa kama ukoma.
Ni vile hakuwa mtu wa kupindisha pindisha mambo.
Ukipewa dhamana itendee vema hata kama watakubadirisha ndani ya siku...
Kumbuka wale sio wabunge wa kupigiwa kura.
Wabunge wa kuteuliwa wanaenda pale kwa mapendekezo ya chama.
Sasa hawa chama kupitia vikao halali vimekataa kuwahi kupeleka majina.
Hatua zaidi ikachukuliwa kuwavua uanachama.
Utawala bora, bunge lingeandika barua kwa chama kupata uthibitisho.
Lakin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.