Recent content by wazunguwawili

  1. W

    JamiiForums Tanzania Profesa Assad: Katiba Mpya sawa ila isitupe mtu ambaye hawezi kumsikiliza mtu yeyote kama ilivyokuwa

    Muafaka lazima uwepo hata kama hatukubaliana. Inatagemea tu ni nani anayetekeleza sera kwa wakati huo. Ukizingua itajulikana na watu watapima.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunahitaji Jaji Mkuu mpya kutokana na yanayoendelea kwenye Mhimili wa Mahakama?

    Tulipo mkosa Jaji Benard Luanda nikajua mfumo wetu wa kuamini watu wa kusimamia haki kwa hakika ni sanaa tu. Toka kipindi cha Jakaya, huyu Jaji alikuwa anakwepwa kama ukoma. Ni vile hakuwa mtu wa kupindisha pindisha mambo. Ukipewa dhamana itendee vema hata kama watakubadirisha ndani ya siku...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Maamuzi ya Spika, muovu hawezi kuwa na ujasiri wa kumwadhibu muovu mwingine

    Kumbuka wale sio wabunge wa kupigiwa kura. Wabunge wa kuteuliwa wanaenda pale kwa mapendekezo ya chama. Sasa hawa chama kupitia vikao halali vimekataa kuwahi kupeleka majina. Hatua zaidi ikachukuliwa kuwavua uanachama. Utawala bora, bunge lingeandika barua kwa chama kupata uthibitisho. Lakin...
  4. W

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kwako wewe ni ngumu. Ila kea wenye mipango,hata ukikaa mwenyewe na ukatoka hadharani,kabla hujaongea jambo wanakuwa wameshakusoma.
  5. W

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Ndiyo maana kuna uzi humu jamvini the old CEO aka vasco anatajwa kama ni suala la muda tu,maana ameshameza ndoano.
  6. W

    JamiiForums Tanzania Vision ya mama ni simple and very clear (4Rs)

    Tutawapa TBC wawe wanaisoma hii kwenye tunatrkeleza. Umeiweka poa sana.
  7. W

    JamiiForums Tanzania Nimeikumbuka TP Lindanda Pamba Football Club

    Kipindi hicho walikuwa wamoto kweli. Sema ndo wachezaji karibu wote walienda kariakoo na jangwani. Huko nako walikiwasha kinoma
  8. W

    JamiiForums Tanzania Prisons FC yapewa ushindi wa mezani baada ya Ruvu Shooting kushindwa kuleta Ambulance Uwanjani

    Duh. Hapa walizingua hizo si dk za nyongeza kbs
  9. W

    JamiiForums Tanzania Simba Queens yatwaa ubingwa mara 3 mfululizo

    Hawa watatwaa ubingwa kwa miaka 20 mfululizo.
  10. W

    JamiiForums Tanzania CHADEMA ni kiboko, Rufaa inachukua miaka miwili kusikilizwa!

    Na wale waliomuandikia supika barua ya kustaafu?
  11. W

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

    Hawa dar mpya wajitafakari sana.
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    Rejea taarifa ya CAG bwana Kichele. Hili tukio halikufanyika kwa bahati mbaya.
  13. W

    JamiiForums Tanzania FT: NBC Premier League | Simba SC 2- 0 Kagera Sugar | Uwanja wa Benjamin Mkapa

    Kimsingi hadi leo ilibidi kuwe na tofauti ya point 1 kwa kuzingatia mechi 3 za mwisho.
Back
Top Bottom