Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    ikiwapa Israel na washirika wake muda mrefu wa kutosha kujipanga kukabiliana nalo. So Iran ajipange vizuri maana apigani na Israel tu ila anapigana na nchi kama 3 ikiwepo Marekani na Uingereza ila Israel yeye amekubali nchi yake kuwa uwanja wa vita Ngoja tuone kama Iran ataweza kuwatwanga...
  2. Wazolee

    Watu wengi wa Pwani hawajui kuzungumza kiswahili Fasaha

    Wewe ndio haujui Kiswahili Kwa sababu wewe kiswahili umekijulia shuleni wakati watu wa pwani kiswahili wamezaliwa nacho
  3. Wazolee

    Uingereza yasema kipigo kutokea Israel ni suala muda tu

    Wanamini Mungu yupo nyuma Yao au wanaamini Marekani na Uingereza wapo nyuma? Zile drone 300 kama sio Uingereza kuwasaidia zingetua zote pale TelAviv si ingekuwa balaa Sasa vile ni vidrone vya bei rahisi na uwezo wake ni mdogo ngoja arushiwe zile ambazo hazionekani na rada yoyote
  4. Wazolee

    Iran hii jeuri ya kupitisha mizinga juu ya Bunge la Israeli "Knesset" anaitoa wapi?

    Kapitisha mizinga ju ya Taifa teule la Marekani na Uingereza [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  5. Wazolee

    Marekani yaruhusu Israel ipige Rafah kama itaihakikishia haitapiga Iran

    Wajinga mpo wengi sana hapa Duniani Yani Hadi Leo hii haujui kuwa Israel hana lolote kama atasimsma yeye kama yeye Hiyo vita na wanamgambo wa Hamasi tu na anasaidiwa na Marekani sembuse Iran
  6. Wazolee

    Mjue Mfalme Constantine I wa Roma

    Weka ushahidi tuuone
  7. Wazolee

    Mjue Mfalme Constantine I wa Roma

    Chuki yako haikusaidii sana sana itakutafuna wewe mwenyewe maana umezaliwa umekuta Muhammad ni nabii wa Mungu na utakufa atacha Muhammad akiwa bado ni mtume wa Mungu Wewe huna adabu Kwa mitume ya Mungu Kwa sababu Mtume wako ni Constantinople Constantinople ndio uliyekutengenexea dini ya...
  8. Wazolee

    Ifahamu Iran na Maendeleo yake (Technology and Manufacturing)

    Sio mchezo ndio maana kumbe USA hawapati usingizi
  9. Wazolee

    Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

    Kutoka 3:4 BWANA alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa. Kutoka 3:5 Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu. Kutoka 3:6 Tena akasema...
  10. Wazolee

    CAG Ripoti 22/23: TEMESA inailipa Kampuni ya AZAM Tsh. Milioni 5 kila siku kuendesha Vivuko

    Kuna kitu sijaelewa Wakala wa umeme na vivuko vya magogoni vinahusiana vipi Alafu hivyo vivuko vya serikali ukarabati wake unachukua miaka mingapi? 2022 Hadi Leo 2024 ukarabati haujakamilika
  11. Wazolee

    Ukristo na Uislamu ni Dini mbili zisizofanana kabisa

    Kuna Moja umelisahau Wakristo wanasoma vitabu vilivyochakachuliwa na watu 8:8 Yeremia na Luka 1:1 Waislam wanasoma kitabu ambacho hakijachakachuliwa na watu Quran 2:1
  12. Wazolee

    Kama nchi tunajipangaje na huu uwezekano mkubwa wa WW3 ambao utakuwa na athari kubwa duniani?

    Hi vita ndio itakuwa mbaya kwetu sidhani kama tuna akiba ya mafuta ya kutosha
  13. Wazolee

    Azam media haina sifa ya kuidhamini ligi ya Tanzania

    Yawezekana wewe ndio hauoni mbali TBC ni chombo Cha serikali tokea lini serikali ikafanya biashara Tunazungumzia DStv na Star times
  14. Wazolee

    Azam media haina sifa ya kuidhamini ligi ya Tanzania

    Acheni unafiki hao DStv na star times si walikuwepo peke Yao miaka mingi kabla ya Azam mbona hawakudhamini hiyo ligi
  15. Wazolee

    Marekani yasogeza meli za kivita na kuziweka mkao wa tayari kuichakaza Iran

    Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ndio iliifanya Marekani awe super power Kwa Sasa super power yake ipo hatalini kutoweka kwahiyo anaona Ili aendelee kuwa super power izuke vita ya tatu ya Dunia au kuhakikisha nchi zote zinazo hatalisha super power yake ziwe zinapigana vita Alianzisha...
Back
Top Bottom