Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

    Ngoja nikuonyeshe sehemu ambayo wandishi wa bibilia walikupigeni Kwa kutumia taaluma yako ya uandishi huenda ukapata jibu Naanza na Quran Quran 37:100 Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema. Quran 37:101 Basi tukambashiria mwana aliye mpole. Quran 37:102 Basi...
  2. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Trump: Tuliwapa silaha Wakurdi wazigawe Kwa waandamanaji wa Irani ila hawakuzigawa

    Kwa Mujibu wa Taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya Al Jazeera Aprili 6, 2026, Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani ilijaribu kuwapelekea silaha kwa siri waandamanaji wa Iran kupitia wasuluhishi wa Kikurdi, zikiwa zimesalia wiki chache kabla ya vita vya sasa kuanza, hata wakati huo ambao...
  3. Wazolee

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Nahisi ikitokea hii nchi imeshikwa na CHADEMA hao Marekani na Trump wao watakutieni Hadi vidole maana inaonekana mnawawaogopa sana
  4. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Kwahiyo majeshi yalivyo jiandaa na nyinyi mkajiandaa?
  5. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    https://www.facebook.com/share/r/1GuUrmw5ch/ Hawa ndio waliowatuma
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania US na EU Kusitisha Misaada na Mikopo, Kuwawekea Vikwazo Wote walohusika na Okt 29, Ku Freeze Mali na Fedha zao za Nje , Watoto wao kurudishwa TZ

    Kwa Sasa Tanzania Haina mda wa kuwanyenyekea Wazungu Wala wamalekani Ni waafrika wajinga pekee ndio wanadhani wanapendwa na Wazungu wenye akili wameshatika huko
  7. Wazolee

    JamiiForums Tanzania US na EU zimesema, vita ya maneno na matamko imekwisha sasa ni vitendo

    Wewe ambaye unamini au umedanganywa kuwa yale makombola katika Ile shule ya chekechea yalitua Kwa bahati mbaya ndio Hauna akili ila watu wote duniani wenye akili wamelaani kitendo Cha Trump kuua watoto wasio na hatia Alafu ulivyo kilaza unasema eti katika vita lolote linatokea kulikuwa na vita...
  8. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Congo DRC yaingia Top 10 ya Nchi zenye Uchumi Mkubwa Afrika Huku Tanzania na Ivory Coast zikiaga Ligi ya Wakubwa

    DRC wamecheleweshwa tu Wazungu Kwa kuanzisha na kuvidhamini vikundi vya kigaidi vinavyoiba madini Yao Trump alisema wa Africa ni wajinga ukiwapa silaha wanauwana wenye Kwa wenyewe Ili kuwafaidisha Wazungu
  9. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Kile kikundi cha chadema cha utekaji kwa Mujibu wa katibu mkuu mstaff Dr. Slaa kilipotelea wapi? Kama siyo hicho kinachoteka watu mpaka sasa

    Umefika wakati Sasa CHADEMA wapelekwe mahakani kuhusu utekaji hapa Tanzania Maana hi kesi imekamilika aliyetekwa yupo na DK slaa ambaye ndio aliyetoa huo ushahidi yupo Sijui kwanini Hadi Leo serikali inasema inawatafuta watekaji wakati watekaji wapo
  10. Wazolee

    JamiiForums Tanzania US na EU zimesema, vita ya maneno na matamko imekwisha sasa ni vitendo

    Huyo Trump pia ana kesi ya kuuwa watoto wa shule ya chekechea Irani
  11. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Katika watu walioathirika na mfumo mbovu wa elimu ya Tanzania na wewe ni Mmoja wapo si ajabu wewe degree holder lakini Mawazo yako hayana tofauti na aliyoishia darasa la saba Unasema mfumo wa elimu wa Tanzania Hauna tatizo wakati Kila siku mitala ya elimu inabadirishwa mitala uliyosoma wewe sio...
  12. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Hapo mwanzo alihusika Kwa sababu alituletea elimu ili waendelee kututawala Ila Kwa Sasa ni ujinga wetu kuendelea na elimu waliyotuletea wakati upo uwezekano wa kuunda mfumo mpya wa elimu utakao kuwa na faida kwetu Ili tuwe kama China , Kolea au Irani
  13. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Marekani kujenga upya hifadhi yake ya Silaha Mashariki ya Kati baada vita na Iran

    Irani ana haki ya kutembeza kichapo katika nchi zote za Kiarabu maana ni wajinga
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Mfumo wa elimu wa Tanzania hauweleki Wala Hauna manufaa Kwa watanzania walio wengi kijana anasoma Hadi ngazi ya degree lakini hajui afanye nini Baada ya hapo Wataalamu wanasema huo mfumo tulitengenezewa na Wazungu Ili tuwe tegemezi Na ndio maana wametuandikia katika vitabu vyao jinsi...
  15. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Itikadi kali wanazidi kuua wakristo Nigeria, bado hawajachoka hadi hapo kila nyumba ya mkristo ivuje damu

    Kabla Nigeria hawajaanza kuchimba mafuta kulikuwa hakuna Boko Haram Wala waislam wenye itikadi Kali Marekani watu wabaya sana
Back
Top Bottom