Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    Kiongozi aliyezima maandamano kwa kuua raia Iran naye auawa

    Kitu ambacho nyinyi hamkijui ni kuwa viongozi wa Irani huwa hawajifichi hasa kipindi kama hiki nchi ipo vitani kiongozi hautaki kijificha By the way waislam huwa hawagopi kufa ila makafiri ndio mnaogopa kufa
  2. Wazolee

    Ijumaa iko occupied, Mufti aka declare Mwezi haukuonekana, Idd ikapelekwa Jumamosi!

    Kama wewe umeuona mwezi Kwa macho yako hata kama Bakwata wakisema haujaoneka wewe unatakiwa ufungue ila kama haujauona basi subiri mamlaka itangaze
  3. Wazolee

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Nitajie vita Moja tu ambayo Irani ndio aliianzisha tokea wewe umezaliwa? Hili swali hauwezi kujibu maana Irani hajawahi kuanzisha Vita na nchi yoyote Nyinyi wagalatia sijui mna shida gani Wazungu wamekudanganyeni katika mambo ya Imani kuwa Binadamu wenzenu Yesu ndio Mungu wenu na Sasa...
  4. Wazolee

    Wakristo wanawaita wayahudu makafiri na wayahudu wanawaita wakristo ni makafiri

    Kwa mujibu wa wakristo wayahudu ni makafiri Kwa sababu wamemkana Mungu wao Yesu Wayahudu Yesu hawafuati Maneno yake Wala hawamuamini tena wanamuita mtoto wa zinaa hivyo basi Myahudi yoyote mbele ya mkiristo ni kafiri kinyume na hapo basi wakristo hawajui wanachokifuata Wala wanacho kiamini Wala...
  5. Wazolee

    Kuna mkuu wa majeshi aliyewahi kuwa na Elimu ya degree ya chuo kikuu?

    Watanzania wajinga sana hata maana ya kuwa na elimu hamujui Yani mnadhani mtu akisoma mlimalimani ndio ana elimu Kwahiyo waliosoma katika vyuo vya kijeshi hiyo sio elimu
  6. Wazolee

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Kwahiyo Marekani na Israel wametawala anga lote la Irani kasoro mfereji wa Hormuz? Nahisi wewe ndio Muongo
  7. Wazolee

    Maisha ya wairani kabla haijawa jamuhuri ya kiislam

    Kipindi Irani inaongozwa na vibaraka wa Marekani ndio ilikuwa hivyo hapo Sasa ndio Marekani ilikuwa inajisikia raha maana walikuwa na nafasi ya kufanya biashara zao za Pombe Madawa ya kulevya Umalaya Ushoga Na kuiba rasilimali za Irani Watu wenye akili kama akina Komenei wakasema hili...
  8. Wazolee

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Peponi hakulingani na kwenyewe pia Kuna madaraja Wapo watakaoishi Dar Wapo watakaoishi Chunya Wapo watakaoishi Masaki Wapo watakaoishi Mbagala
  9. Wazolee

    Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Kwahiyo mwaonao akilawitiwa sio dhambi?
  10. Wazolee

    Mama, mpaka mwendokasi unawapa waarabu?🤦🏾‍♂️😳

    Mbona ilitangazwa tenda na ikikaa miezi Mingi bila ya kumpata mtu? Ebu punguzeni chuki zenu za kijinga japo kidogo Any way nahisi njia ya Ubungo bado haijapata muwekezaji haya wambie hao wazawa wawekeze huko Hi Mofat kama ni Waarabu wapo njia ya Mbagala tu Magali Yao ni mapya na full AC
  11. Wazolee

    Ninahisi kama mbio za urais 2030 zimeanza mapema sana

    Inasemaka raisi akiwa mkiristo lazima awe mkatoliki nataka niprove hilo Kwa raisi ajaye ni kweli au wanawasingizia tu TEC kuwa huwa wanacheza michezo michafu
  12. Wazolee

    Takribani watu 1,300 wameuawa na Mamilioni kupoteza makazi Iran

    Sasa mbona huyo mwandishi ameweka habari za upande Mmoja Ngoja nimsaidie
  13. Wazolee

    Kwa Zanzibar ni nchi ya kidini, kwa nini wapiga urabu kwenye Ramadhani wakamatwe?

    Hakuna mzanzibar mkiristo Ukimuona mkiristo Zanzibar ujue ni mgeni hivyo ni vizuri mkaishi Kwa adabu
Back
Top Bottom