Waislam wote wanalaani dhuluma wanayofanyiwa Venezuela
kwani Venezuela ni nchi ya kiislam?
Kuhusu rasilimali za Tanzania tafuta historia ya kweli ni nani aliyeleta uhuru katika nchi hii kama sio waislam?
Ukiwa mkiristo alafu ukiwa mshamba unakuwa kama msukule Yani unakuwa upo upo tu
Hapa...
Kwanza usiingize udini katika hi vita watu wote duniani wanajua hi ni vita ya kiuchumi sio dini labda kama wewe ni kilaza ndio ataadhani kuwa hi ni vita ya kidini
Pili Base ya kijeshi ya Marekani iliyopo Baharrein Ina thamani kuliko makatibu kata wote waliyopo Marekani
Ballistic missile za...
Kwa bahati mbaya uliyonayo US hapigani vita na Irani Kwa sababu ya kuutetea ukiristo ila anataka apate nafasi ya kuiba rasilimali za Irani Yani mafuta , Gasi na Uranium kama vile anavyowaibia Venezuela ila msukule kama wewe ndio unaingiza udini katika hii vita Sasa sijui dini yenu inaruhusu wizi
Mara zote Irani yeye alikuwa haziishi mashambulizi ila alikuwa anajibu Baada ya kushambuliwa na alikuwa anajibu Kwa kiwango kinachofanana nafikiri walikuwa wanafanya Kwa kufuuta Sheria za kiislam
Ila hili shambulio la mwisho la US la kupiga miundombinu Yani reli za mwendokasi, Madaraja ...
Hivi Ile meli ya USA ambayo ni hatali kuliko zote duniani inayoitea ABRAHAM LINKONI ipo wapi Kwa Sasa?
Hawa jamaa Wana mikwala sana walidhani Irani ni sawa na Tanzania au Venezuela
Hao waliowashawishi watu wafanye fujo kuvuruga uchaguzi mpaka watoto wa watu wakafa juzi wamekaa Ikilu na kupata lanch na raisi
Msipo jitambua mtakufa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.