Ni kweli kama mamlaka ya raisi yakipunguzwa basi iwekwe sharia ya kunyongwa mafisadi
La sivyo Kuna watu watanya madudu Kwa kujificha katika kivuli Cha katiba
Siku ya hukumu kutakuwa na makundi ya aina 5
1) Waislam
Watapiwa madhambi Yao na mema Yao katika mizani mema yakiwa mengi utaenda peponi na mabaya yakiwa mengi utaenda motoni
ila hautakaa motoni milele utatumikia adhabu Kwa muda wa madhambi yako Kisha utapelekwa peponi
2) Makafiri
Hawa...
Waislam wanasema hivi
Adamu
Nuhu
Ibrahim
Isaka
Jakobo
Hao wote walikuwa waislam na sio Kwa hiyari Yao ila waliambiwa na Mungu wawe waislam
Sasa kama ndio hivyo
ukristo ulitoka wap?
Roho zote Mungu aliziumba siku Moja na Roho zote zilisaini makubaliano na Mungu
Hata binadamu ambao bado hawajazaliwa tayari roho zao zipo zinasubiri siku ya kuja duniani
Waislam wenzetu waliomfuata Yesu wao watapata mabikira 100
Mathayo 19:27
Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?
Mathayo 19:28
Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa...
Broo umekuwa Allah kiasi kwamba unamjua nani kafiri na nani ni mwema miongoni mwa waislam?
Ni haramu kumuita kafiri mtu aliyetoa shahada kuwa makini
Umeingia katika mtego wa wayahudu katika kuwagawanya waislam Allah akupe ufahamu
Ukiwa mgalatia alafu ukiwa mjinga unakuwa kama msukule
Nani aliyekuambia Irani inataka kuiangamiza Israel?
Hivi unajua kuwa tokea Irani imeundwa haijawahi kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel hata Kwa kuirushia jiwe?
Sasa jiulize Israel imefanya ugaidi mara ngapi ndani ya Irani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.