Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa JNHPP: Tanzania Kilele cha Nishati Afrika

    Hili bwawa Lina km ngapi za mraba?
  2. Wazolee

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Sasa mafundi umeme jinzi si ndio vazi bora kwao Hi nchi Ina shida sana
  3. Wazolee

    JamiiForums Tanzania MO haidai Simba hata shilingi moja, inamdai yeye

    Matangazo aliyoweka katika jezi Kwa mwaka analiia shs ngapi?
  4. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Vipi kuhusu lile fungu walilokuwa wanapewa na serikali waliliongelea?
  5. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Baada ya Irani kuanza vita rasimi Marekani wamekimbia

    Waislam wote wanalaani dhuluma wanayofanyiwa Venezuela kwani Venezuela ni nchi ya kiislam? Kuhusu rasilimali za Tanzania tafuta historia ya kweli ni nani aliyeleta uhuru katika nchi hii kama sio waislam? Ukiwa mkiristo alafu ukiwa mshamba unakuwa kama msukule Yani unakuwa upo upo tu Hapa...
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Baada ya Irani kuanza vita rasimi Marekani wamekimbia

    Kwanza usiingize udini katika hi vita watu wote duniani wanajua hi ni vita ya kiuchumi sio dini labda kama wewe ni kilaza ndio ataadhani kuwa hi ni vita ya kidini Pili Base ya kijeshi ya Marekani iliyopo Baharrein Ina thamani kuliko makatibu kata wote waliyopo Marekani Ballistic missile za...
  7. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Baada ya Irani kuanza vita rasimi Marekani wamekimbia

    Kwa bahati mbaya uliyonayo US hapigani vita na Irani Kwa sababu ya kuutetea ukiristo ila anataka apate nafasi ya kuiba rasilimali za Irani Yani mafuta , Gasi na Uranium kama vile anavyowaibia Venezuela ila msukule kama wewe ndio unaingiza udini katika hii vita Sasa sijui dini yenu inaruhusu wizi
  8. Wazolee

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Na wewe tuambie ni nani aliyechoma Mali za watu na miundombinu ya mwendokasi?
  9. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Baada ya Irani kuanza vita rasimi Marekani wamekimbia

    Mara zote Irani yeye alikuwa haziishi mashambulizi ila alikuwa anajibu Baada ya kushambuliwa na alikuwa anajibu Kwa kiwango kinachofanana nafikiri walikuwa wanafanya Kwa kufuuta Sheria za kiislam Ila hili shambulio la mwisho la US la kupiga miundombinu Yani reli za mwendokasi, Madaraja ...
  10. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Hivi Ile meli ya USA ambayo ni hatali kuliko zote duniani inayoitea ABRAHAM LINKONI ipo wapi Kwa Sasa? Hawa jamaa Wana mikwala sana walidhani Irani ni sawa na Tanzania au Venezuela
  11. Wazolee

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Hao waliowashawishi watu wafanye fujo kuvuruga uchaguzi mpaka watoto wa watu wakafa juzi wamekaa Ikilu na kupata lanch na raisi Msipo jitambua mtakufa sana
  12. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    TEC ni kivuli Cha wakoloni kilichojificha katika ubavu wa dini
  13. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Bundi atua Simba, Mchakato wa kumng'oa MO Waandaliwa

    Matola mtamuonea tu bila ya sababu Mo sawa na Mo sio kama anafukuzwa ila atauza tu hisa zake anasepa
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Nadharia wa Facebook ametoa hoja fikirishi

    Jahanam inakusubiri
Back
Top Bottom