Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Eti UKIMWI ni ugonjwa ? 😆 mtu anagamba public kabisa na kudai UKIMWI ni ugonjwa !! Nani alikufa na ukimwi?

    Waafrica wajinga sana Wazungu wamekutengezeeni gonjwa la UKIMWI alafu wakaja kukuambieni UKIMWI sio ugonjwa na mlivyo wajinga mnakubali kuwa UKIMWI sio ugonjwa
  2. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Nitaji Nitajie dheebu Moja tu la ukiristo ambolo halikitoka katika ubavu wa Romani Catholic?
  3. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Matendo ya Mitume 26:10 nami nikayafanya hayo Yerusalemu; niliwafunga wengi miongoni mwa watakatifu ndani ya magereza, nikiisha kupewa amri na wakuu wa makuhani; na walipouawa nalitoa idhini yangu. Matendo ya Mitume 26:11 Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha...
  4. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi wa Israel amethibitisha kuwa Marekani wanatumia Base za Israel kuishambulia Iran.

    Ukiwa mshamba alafu ukiwa mgalatia unakuwa kama msukule Katika hao makamanda hapo ni yupe aliuliwa katika uwanja wa vita au wakati wa vita Hao waliuliwa kigaidi na Sheria za kimataifa zinakata kuuwa viongozi wa nchi wakiwa sebereni na familia zao wanapata dinner Irani hawezi kuwaua...
  5. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Rai kwa Rais Samia: Toa Kijiti cha Katiba Mpya Sasa

    Kwahiyo Samia ndio mnyonge wenu si ndio? Samia achana na katiba mpya tunasubiri raisi ajae na tutakusaidieni kuandama kudai katiba mpya
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Kwani mpaka Leo yupo mkiristo ambaye hajuai kuwa mnyama 666 ni Romani Catholic?
  7. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    Wewe ndio mjinga Kwa sababu wenye akili wote wanajua sababu ya hi vita kuwa sio ugaid Marekani anataka kupora rasilimali kama Gasi, mafuta na uranium za Irani kama vile alivyo pora Kuweit, Iraqi. Libya na Venezuela Israel anataka yeye ndio awe mbabe pale middle east Ili aendelee kuwagawanya...
  8. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaruhusu Marekani kutumia kambi zake kuendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

    Hizo nchi ambazo ndani yake Kuna hizo kambi za Uingereza wakikubali hilo ni wajinga Maana Irani ataendelea kuzichapa hizo nchi
  9. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Mtu ana umaskini wa kutosha, familia inakula dagaa, mavazi ya mtumba lakini ànasomesha mtoto shule ya kulipia

    Haya ndio madhara ya kusoma kayumba kama baba yako angekusomesha English medium usinge andika huu upuzi
  10. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    UN ilianzishwa Ili kuzuia visije vikatokea vita ya 3 ya Dunia Lakini Sasa hivi UN wapo wanasaport Ili vita ya 3 ya Dunia ianze
  11. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa mimi ndio Shekhe Walid nisingeenda kukabidhi ofisi funguo, ningempa bodaboda awapelekee

    BAKWATA mnautia aibu sana uislam katika hi nchi mnamuhukumu vipi mtu Kwa Maneno ya mwanamke aliyeongea mitandaoni? Mmesema mmemtengua Kwa mwenendo wake mbovu wa maadili Kwahiyo nyinyi BAKWATA mnaweza kuuthibitishia umaa wa kiislam kuwa Shekhe Walid alizini na yule dada Hadi akamtia mimba...
  12. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Nimeamua kubadili dini na kuwa mkristo. Yesu ni Mungu na wayahudi ni wateule wake

    Ongera zako Kwa kuanza kuabudu Mungu aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya alafu anaenda mto Yordani kufua kanzu yake na viatu vyake
  13. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Ushauri Unahitajika: Bei ya kiwanja kwa ajili ya kujengwa Mnara wa Mawasiliano ya simu

    Hata kama utauza hawatonunua kampuni ya simu ila Kuna mtu atanunua alafu yeye atawapangisha hao watu wa minira
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Iran inawezaje kufanya haya

    Irani ni magaidi kama Venezuela? Au Venezuela wao sio magaidi? Kama unamini Venezuela sio magaidi basi Marekani ndio magaidi Hivi kumbe wajinga kama wewe bado mpo?
  15. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Marekani yaruhusu Saudi Arabia kurutubisha Uranium bila uangalizi Wakimataifa

    Hivi kumbe Marekani ndio anaamua hapa Duniani nani awe na nyukilia na nani asiwe nayo?
Back
Top Bottom