Recent content by Wazolee

  1. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Swali kwa IGP, nani aliyeruhusu askari polisi kuingia mitaani na silaha za kivita

    Kwani kulikuwa hakuna hali ya hatari Ndio maana vituo vya mwendokasi mlivyochoma moto havijakarabatiwa Ili vitumike kama ushahidi
  2. Wazolee

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Diploma kutoka Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) tunasota kupata AVN Namba kutoka NACTVET

    Miaka hiyo kipindi nasoma siku niliyoingiziwa laki 9 ya field katika account yangu niliona Dunia yote kama ya kwangu Umasikini mbaya sana
  3. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Libya yakamata dawa za kulevya zenye umbo la Gadafi

    Hivi Kwa Sasa raisi wa Libya anaitwa nani?
  4. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa ufugaji wa nguruwe.

    Kila la kheli katika biashara yako ya laana
  5. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Wasira: Tukipunguza nguvu za rais nchi haitapata maendeleo.

    Ni kweli kama mamlaka ya raisi yakipunguzwa basi iwekwe sharia ya kunyongwa mafisadi La sivyo Kuna watu watanya madudu Kwa kujificha katika kivuli Cha katiba
  6. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Yaani Samia aliyeenda kumwona Lissu hosptali, hamtaki aende mahakamani kumtetea Lissu hasinyongwe kweli?

    Hawezi kunyongwa kukinukisha Ili kuvuruga uchaguzi sio uhaini Ijapo kuwa kama angefanikiwa madhara yake yangefanana na uhaini
  7. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Walioishi kabla ya Yesu na Muhammad wamepotea ?

    Siku ya hukumu kutakuwa na makundi ya aina 5 1) Waislam Watapiwa madhambi Yao na mema Yao katika mizani mema yakiwa mengi utaenda peponi na mabaya yakiwa mengi utaenda motoni ila hautakaa motoni milele utatumikia adhabu Kwa muda wa madhambi yako Kisha utapelekwa peponi 2) Makafiri Hawa...
  8. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanaosema Ukristo sio dini huwa wana maana gani?

    Unatamani iwe hivyo lakini Kwa bahati mbaya uliyonayo sio hivyo Muhammad ni nabii wa mwisho manabii wenzake waliomtangulia wote walikuwa waislam
  9. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanaosema Ukristo sio dini huwa wana maana gani?

    Waislam wanasema hivi Adamu Nuhu Ibrahim Isaka Jakobo Hao wote walikuwa waislam na sio Kwa hiyari Yao ila waliambiwa na Mungu wawe waislam Sasa kama ndio hivyo ukristo ulitoka wap?
  10. Wazolee

    JamiiForums Tanzania sikuomba kuzaliwa, kwanini nihukumiwe na moto wa milele

    Kwanini haukuchagua ufe ukiwa mimba au ukiwa kichanga?
  11. Wazolee

    JamiiForums Tanzania sikuomba kuzaliwa, kwanini nihukumiwe na moto wa milele

    Roho zote Mungu aliziumba siku Moja na Roho zote zilisaini makubaliano na Mungu Hata binadamu ambao bado hawajazaliwa tayari roho zao zipo zinasubiri siku ya kuja duniani
  12. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Mbingu ya Waislamu inatamanisha na kusisimua kuliko ya Wakristo.

    Waislam wenzetu waliomfuata Yesu wao watapata mabikira 100 Mathayo 19:27 Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi? Mathayo 19:28 Yesu akawaambia, Amin, nawaambia ya kwamba ninyi mlionifuata mimi, katika ulimwengu mpya, atakapoketi Mwana wa...
  13. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Broo umekuwa Allah kiasi kwamba unamjua nani kafiri na nani ni mwema miongoni mwa waislam? Ni haramu kumuita kafiri mtu aliyetoa shahada kuwa makini Umeingia katika mtego wa wayahudu katika kuwagawanya waislam Allah akupe ufahamu
  14. Wazolee

    JamiiForums Tanzania Iran Yaendelea Kuwaogopa Israel, Israel Yazidi Kufanya Mashambulizi Lebanon

    Ukiwa mgalatia alafu ukiwa mjinga unakuwa kama msukule Nani aliyekuambia Irani inataka kuiangamiza Israel? Hivi unajua kuwa tokea Irani imeundwa haijawahi kuanzisha mashambulizi dhidi ya Israel hata Kwa kuirushia jiwe? Sasa jiulize Israel imefanya ugaidi mara ngapi ndani ya Irani?
Back
Top Bottom