ikiwapa Israel na washirika wake muda mrefu wa kutosha kujipanga kukabiliana nalo.
So Iran ajipange vizuri maana apigani na Israel tu ila anapigana na nchi kama 3 ikiwepo Marekani na Uingereza ila Israel yeye amekubali nchi yake kuwa uwanja wa vita
Ngoja tuone kama Iran ataweza kuwatwanga...
Wanamini Mungu yupo nyuma Yao au wanaamini Marekani na Uingereza wapo nyuma?
Zile drone 300 kama sio Uingereza kuwasaidia zingetua zote pale TelAviv si ingekuwa balaa
Sasa vile ni vidrone vya bei rahisi na uwezo wake ni mdogo ngoja arushiwe zile ambazo hazionekani na rada yoyote
Wajinga mpo wengi sana hapa Duniani Yani Hadi Leo hii haujui kuwa Israel hana lolote kama atasimsma yeye kama yeye
Hiyo vita na wanamgambo wa Hamasi tu na anasaidiwa na Marekani sembuse Iran
Chuki yako haikusaidii sana sana itakutafuna wewe mwenyewe maana umezaliwa umekuta Muhammad ni nabii wa Mungu na utakufa atacha Muhammad akiwa bado ni mtume wa Mungu
Wewe huna adabu Kwa mitume ya Mungu Kwa sababu Mtume wako ni Constantinople
Constantinople ndio uliyekutengenexea dini ya...
Kutoka 3:4
BWANA alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa.
Kutoka 3:5
Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.
Kutoka 3:6
Tena akasema...
Kuna kitu sijaelewa Wakala wa umeme na vivuko vya magogoni vinahusiana vipi
Alafu hivyo vivuko vya serikali ukarabati wake unachukua miaka mingapi?
2022 Hadi Leo 2024 ukarabati haujakamilika
Kuna Moja umelisahau
Wakristo wanasoma vitabu vilivyochakachuliwa na watu 8:8 Yeremia na Luka 1:1
Waislam wanasoma kitabu ambacho hakijachakachuliwa na watu Quran 2:1
Vita ya kwanza na ya pili ya Dunia ndio iliifanya Marekani awe super power
Kwa Sasa super power yake ipo hatalini kutoweka kwahiyo anaona Ili aendelee kuwa super power izuke vita ya tatu ya Dunia au kuhakikisha nchi zote zinazo hatalisha super power yake ziwe zinapigana vita
Alianzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.