Kitu ambacho nyinyi hamkijui ni kuwa viongozi wa Irani huwa hawajifichi hasa kipindi kama hiki nchi ipo vitani kiongozi hautaki kijificha
By the way waislam huwa hawagopi kufa ila makafiri ndio mnaogopa kufa
Nitajie vita Moja tu ambayo Irani ndio aliianzisha tokea wewe umezaliwa?
Hili swali hauwezi kujibu maana Irani hajawahi kuanzisha Vita na nchi yoyote
Nyinyi wagalatia sijui mna shida gani Wazungu wamekudanganyeni katika mambo ya Imani kuwa Binadamu wenzenu Yesu ndio Mungu wenu na Sasa...
Kwa mujibu wa wakristo wayahudu ni makafiri Kwa sababu wamemkana Mungu wao Yesu
Wayahudu Yesu hawafuati Maneno yake Wala hawamuamini tena wanamuita mtoto wa zinaa hivyo basi Myahudi yoyote mbele ya mkiristo ni kafiri kinyume na hapo basi wakristo hawajui wanachokifuata Wala wanacho kiamini Wala...
Watanzania wajinga sana hata maana ya kuwa na elimu hamujui Yani mnadhani mtu akisoma mlimalimani ndio ana elimu
Kwahiyo waliosoma katika vyuo vya kijeshi hiyo sio elimu
Kipindi Irani inaongozwa na vibaraka wa Marekani ndio ilikuwa hivyo hapo Sasa ndio Marekani ilikuwa inajisikia raha maana walikuwa na nafasi ya kufanya biashara zao za
Pombe
Madawa ya kulevya
Umalaya
Ushoga
Na kuiba rasilimali za Irani
Watu wenye akili kama akina Komenei wakasema hili...
Mbona ilitangazwa tenda na ikikaa miezi Mingi bila ya kumpata mtu?
Ebu punguzeni chuki zenu za kijinga japo kidogo
Any way nahisi njia ya Ubungo bado haijapata muwekezaji haya wambie hao wazawa wawekeze huko
Hi Mofat kama ni Waarabu wapo njia ya Mbagala tu Magali Yao ni mapya na full AC
Inasemaka raisi akiwa mkiristo lazima awe mkatoliki nataka niprove hilo Kwa raisi ajaye ni kweli au wanawasingizia tu TEC kuwa huwa wanacheza michezo michafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.