Ngoja nikuonyeshe sehemu ambayo wandishi wa bibilia walikupigeni Kwa kutumia taaluma yako ya uandishi huenda ukapata jibu
Naanza na Quran
Quran 37:100
Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
Quran 37:101
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
Quran 37:102
Basi...
Kwa Mujibu wa Taarifa iliyochapishwa katika tovuti ya Al Jazeera Aprili 6, 2026,
Rais Donald Trump alisema kuwa Marekani ilijaribu kuwapelekea silaha kwa siri waandamanaji wa Iran kupitia wasuluhishi wa Kikurdi, zikiwa zimesalia wiki chache kabla ya vita vya sasa kuanza, hata wakati huo ambao...
Kwa Sasa Tanzania Haina mda wa kuwanyenyekea Wazungu Wala wamalekani
Ni waafrika wajinga pekee ndio wanadhani wanapendwa na Wazungu wenye akili wameshatika huko
Wewe ambaye unamini au umedanganywa kuwa yale makombola katika Ile shule ya chekechea yalitua Kwa bahati mbaya ndio Hauna akili ila watu wote duniani wenye akili wamelaani kitendo Cha Trump kuua watoto wasio na hatia
Alafu ulivyo kilaza unasema eti katika vita lolote linatokea kulikuwa na vita...
DRC wamecheleweshwa tu Wazungu Kwa kuanzisha na kuvidhamini vikundi vya kigaidi vinavyoiba madini Yao
Trump alisema wa Africa ni wajinga ukiwapa silaha wanauwana wenye Kwa wenyewe Ili kuwafaidisha Wazungu
Umefika wakati Sasa CHADEMA wapelekwe mahakani kuhusu utekaji hapa Tanzania
Maana hi kesi imekamilika aliyetekwa yupo na DK slaa ambaye ndio aliyetoa huo ushahidi yupo
Sijui kwanini Hadi Leo serikali inasema inawatafuta watekaji wakati watekaji wapo
Katika watu walioathirika na mfumo mbovu wa elimu ya Tanzania na wewe ni Mmoja wapo si ajabu wewe degree holder lakini Mawazo yako hayana tofauti na aliyoishia darasa la saba
Unasema mfumo wa elimu wa Tanzania Hauna tatizo wakati Kila siku mitala ya elimu inabadirishwa mitala uliyosoma wewe sio...
Hapo mwanzo alihusika Kwa sababu alituletea elimu ili waendelee kututawala
Ila Kwa Sasa ni ujinga wetu kuendelea na elimu waliyotuletea wakati upo uwezekano wa kuunda mfumo mpya wa elimu utakao kuwa na faida kwetu Ili tuwe kama China , Kolea au Irani
Mfumo wa elimu wa Tanzania hauweleki Wala Hauna manufaa Kwa watanzania walio wengi kijana anasoma Hadi ngazi ya degree lakini hajui afanye nini Baada ya hapo
Wataalamu wanasema huo mfumo tulitengenezewa na Wazungu Ili tuwe tegemezi
Na ndio maana wametuandikia katika vitabu vyao jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.