Waafrica wajinga sana Wazungu wamekutengezeeni gonjwa la UKIMWI alafu wakaja kukuambieni UKIMWI sio ugonjwa na mlivyo wajinga mnakubali kuwa UKIMWI sio ugonjwa
Matendo ya Mitume 26:10
nami nikayafanya hayo Yerusalemu; niliwafunga wengi miongoni mwa watakatifu ndani ya magereza, nikiisha kupewa amri na wakuu wa makuhani; na walipouawa nalitoa idhini yangu.
Matendo ya Mitume 26:11
Na mara nyingi katika masinagogi yote naliwaadhibu, nikawashurutisha...
Ukiwa mshamba alafu ukiwa mgalatia unakuwa kama msukule
Katika hao makamanda hapo ni yupe aliuliwa katika uwanja wa vita au wakati wa vita
Hao waliuliwa kigaidi na Sheria za kimataifa zinakata kuuwa viongozi wa nchi wakiwa sebereni na familia zao wanapata dinner
Irani hawezi kuwaua...
Wewe ndio mjinga Kwa sababu wenye akili wote wanajua sababu ya hi vita kuwa sio ugaid
Marekani anataka kupora rasilimali kama Gasi, mafuta na uranium za Irani kama vile alivyo pora Kuweit, Iraqi. Libya na Venezuela
Israel anataka yeye ndio awe mbabe pale middle east Ili aendelee kuwagawanya...
BAKWATA mnautia aibu sana uislam katika hi nchi mnamuhukumu vipi mtu Kwa Maneno ya mwanamke aliyeongea mitandaoni?
Mmesema mmemtengua Kwa mwenendo wake mbovu wa maadili
Kwahiyo nyinyi BAKWATA mnaweza kuuthibitishia umaa wa kiislam kuwa Shekhe Walid alizini na yule dada Hadi akamtia mimba...
Ongera zako Kwa kuanza kuabudu Mungu aliyekuwa anacheza kombolela na watoto wenzake katika mitaa ya Galilaya alafu anaenda mto Yordani kufua kanzu yake na viatu vyake
Irani ni magaidi kama Venezuela? Au Venezuela wao sio magaidi? Kama unamini Venezuela sio magaidi basi Marekani ndio magaidi
Hivi kumbe wajinga kama wewe bado mpo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.