Designer ambaye ameshakamilisha portfolio yake ujue sio designer...lol. Ila waeza niona IG www.instagram.com/maghaseti . Samahanini kama litaonekana kama tangazo.
Habari!
Mimi ni Creative Logo & Brand Identity Designer mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika hii tasnia. Nimebobea katika kutengeneza professional, simple and clean logos kwasababu ninaamini logo ni image ya brand yoyote ile na itadumu kwa muda mrefu na pia itatakiwa kutumika katika...
Mnh! Japo namini bei ile imenishangaza lakini nawewe umenishangaza. Yaani logo ya bank kabisa ichorwe kwa 50,000/-?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ilhali mimi sikuchorei logo ya biashara ya karanga kwa hiyo bei. TPB wametukweza sisi madesigners kupitiliza lakini pia wewe umetushusha...
Haya mambo yapo asee. Juzi tu hapo Nilimuona dada yangu anasnap waaaa...nilishangaa kuona picha yake ina masikio na pua za paka. Nilishtuka sana sijui huyu dada yangu ni jiniii? Hadi leo najiuliza sipati jibu.
Kwangu mimi natumia mkono wa kulia hivyo lazima ikae kushoto maana ni rahisi zaidi kuichua kwa wepesi. Pia nikiwa sina nafasi ya kutosha naichukua bila shida kwasababu ikiwa kulia lazima kiwiko kitadai kujikunja na bega kupanda juu ili niichukue.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.