Recent content by Waziri kivuli

  1. W

    Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

    Ni wazi kuna rafu imechezwa kwa kushirikiana na Ndugai!Sasa ili iwe fundisho napendekeza wafutwe uanachama na KM apeleke majina mengine ambayo yamo kwenye orodha ya wagombea viti maalumu!
  2. W

    Je, Museveni haamini kama Corona imeisha Tanzania? Kabudi amejikuta kapata aibu!

    Hahahahaaaa, Museveni sura yake nimeiona leo, hakika jamaa ni dikteta haswaaa!
  3. W

    Makonda alimaanisha nini kumwambia Fatma Karume hivi “Baba yako anakulinda”?

    Ujumbe huu nadhani unamfaa sana Makonda mwenyewe!Baba yake akistaafu sijui atakuwa na hali gan
  4. W

    Je, unatamani kitu kingine kipi kijengwe Chato?

    Bandari inajengwa huko pia!
  5. W

    Hivi ilikuwaje wananchi makini wa SGD masharika kumuamini mtu asiyewajibika kama Tundu Lisu ubunge?

    Ndio maana CCM wakifa sishtuki,naona kama wamekufa nzi tu!
  6. W

    How I almost secured a job in 10 minutes !!!

    H Halafu neno "literally" limebamba sana kwa story yake!
  7. W

    IQ ya Nyerere ilikuwa kubwa sana: Debate kati ya Nyerere na mke wa Rais Roosevelt

    Ukimchukulia mwalimu Nyerere alipatikana Tanzanania tukia hata million 10 hatujafika,Ila sasa tuko milioni 55+ Ila ndio tumepata tulichokipata!Yaani sijui tunakwama wapi kizazi hiki?
  8. W

    Mbowe ataka Bandari ya Bagamoyo ijengwe kwa masharti yoyote

    Uzi huu nasikia harufu ya propaganda!
  9. W

    Wakurugenzi wa Halmashauri wataendelea kusimamia Uchaguzi wa Madiwani, Wabunge na Rais Kama zamani

    Inamaana hujaelewa kabisaa hoja ya mchangiaji?Daah we kilaza kweli!!!
  10. W

    Poleni sana Wachaga kwa kauli aliyotoa Makonda msibani

    Dr Bashiru ndiye aliyemuombea msamaha kwa waumini ambao wengi ni wachaga Na askofu Dr Shoo,sasa ulitakaje?
  11. W

    Kauli hii nayo imebagua walemavu

    Mfano unafanana kwa 100%
Back
Top Bottom