Ni wazi kuna rafu imechezwa kwa kushirikiana na Ndugai!Sasa ili iwe fundisho napendekeza wafutwe uanachama na KM apeleke majina mengine ambayo yamo kwenye orodha ya wagombea viti maalumu!
Ukimchukulia mwalimu Nyerere alipatikana Tanzanania tukia hata million 10 hatujafika,Ila sasa tuko milioni 55+ Ila ndio tumepata tulichokipata!Yaani sijui tunakwama wapi kizazi hiki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.