Nawasalimu kwa jina la muungano!
Katika vipindi vitatu vya uongozi ambao umekaribiana sana yaani kipindi cha JK,JPM na hiki cha mama yetu nimejifunza mengi kuhusu siasa na uzalendo. Nazungumzia hivi vipindi vitatu kwasababu enzi za kina nyerere na mwinyi huko nyuma uzalendo ulikuwepo na uchungu...
Wapeni watu dili hizi . maisha yanawavuruga huku kitaa! Wanahangaika kutafuta freemason /kupga watu risasi kumbe kuna njia ndogo tu ya kuwa na roho ngumu tu kuingia misitun!
Udini ni tatizo ambalo lipo sana kwenye jamii yetu ya Tanzania na linatutafuna. Hatuna vita vya mapanga na risasi lakini kisaikolojia tuna vita kubwa sana! Nimeshududia mitafaruku katika ndoa,koo fulani,familia kuvunjika na hata sometimes kuligawa taifa letu hasa wakati huu wa korona.Hii yote ni...
Hivi ulifukuzwa kazi nini! Hujibu maswali ya wateja..( ndiyo tatzo la motivational speaker na waajiriwa)! Anakushauri afu yeye hata hicho kitu hakiwezi
Kuna wimbo sijui kaimba nani
" Maisha mbona unanihangaisha
Ipo siku nami nitayapatia"
Baadhi ya mistar yke
" Bos wangu ni mdogo,mimi ni mkubwa namweshimu kwa sababu ya maisha".
Mwenye nao please naomba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.