Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Pia kwa Diaspora mliopo nje tupe maujanaja jamani ni namna gani tunaweza kununua stocks za kamuni mbali mbali huko nje...!

Hakika nyinyi mtakuwa na taarifa kwa ukaribu na uhakika..



Karibuni...!
Kwanza nikupongeze kwa moyo wako wa upendo na kujitoa ila lai au maoni yangu tumuombe mungu ili tuwe na upendo sisi sote, Watanzania tumetawaliwa na ubinafsi , roho mbaya na chuki ndio maana Leo kuna ugumu kwa sisi Ku fanikiwa , wakenya wana magroup very useful kwa kusaidiana tena vitu sensitive ila sisi wa bongo sasa ni ujinga na umbea, mkenya akifanikiwa basi zalima ata waambia wenzake A to ź ngoja nitoe usuhuda kuna mkenya aliomba mkenya aliye nje ( marekani, Germany au British ) kwa ajiri ya ku verification ya account basi dk kadhaa wakenya wa Germany - Munich , USA na England walikuja chap na wapo tayari ku msaidia, pia wana elekezana namna ya maswali ya ubalozi na kuya jibu yaani huwa nashangaa sna tena wako free sna kusaidiana ili wasafiri
 
Wiki kadhaa zilizopita rais wa Kenya alikuwa U.K kaongea na moja ya waziri huko ...kuhusu masuala ya wafanyakazi sekta ya healthy care,

Sasa hivi wakenya wana chance kubwa ya kupata kazi za health care huko U.K kutokana na uhaba uliopo..
Wakenya wana ageyncy zao za ku process visa immigration za nursery tu tena wana zitumia sna kuingia USA , sisi labda tunajua ile gari chibu rocce Royce toleo gani na lili pitia wapi 😂😂😂😂😂 it's all about jokes
 
Kwanza nikupongeze kwa moyo wako wa upendo na kujitoa ila lai au maoni yangu tumuombe mungu ili tuwe na upendo sisi sote, Watanzania tumetawaliwa na ubinafsi , roho mbaya na chuki ndio maana Leo kuna ugumu kwa sisi Ku fanikiwa , wakenya wana magroup very useful kwa kusaidiana tena vitu sensitive ila sisi wa bongo sasa ni ujinga na umbea, mkenya akifanikiwa basi zalima ata waambia wenzake A to ź ngoja nitoe usuhuda kuna mkenya aliomba mkenya aliye nje ( marekani, Germany au British ) kwa ajiri ya ku verification ya account basi dk kadhaa wakenya wa Germany - Munich , USA na England walikuja chap na wapo tayari ku msaidia, pia wana elekezana namna ya maswali ya ubalozi na kuya jibu yaani huwa nashangaa sna tena wako free sna kusaidiana ili wasafiri
Wakenya wakiwa ndani ni wakabila ila wakitoka nje ni ndugu...
 
Wakenya wana ageyncy zao za ku process visa immigration za nursery tu tena wana zitumia sna kuingia USA , sisi labda tunajua ile gari chibu rocce Royce toleo gani na lili pitia wapi 😂😂😂😂😂 it's all about jokes
Daah wakenya wapo vizuri sasa hivi wanapigiana promo huko YouTube wanahamasisha wenzao wachangamkie fursa hizo zilizotolewa huko U.K za vitengo vya Healthy care na Nurse
 
Hivi sisi tunaodaiwa na Bodi ya Mikopo na taasisi nyingine za kibenki Uhamiaji wataturuhusu kutoka nje kweli? au watasema tulipe madeni kwanza?
Sidhani kama ukiwa na hilo Deni basi utawekewa vipingamizi kusafiri nje,

nafikiri hiyo labda ni kwa wahalifu tu wanaowekewa pingamizi na mahakama!
 
Kwani i sisi Tz tunakwama? Ila wapo wa Tz wengi wanao apply kimya kimya mpaka wakose au wapate labda ndio watakupa mwongozo!!
Nilicho jifunza ktk mambo haya , mukiwa wengi ktk michakato hii basi mafanikio ni makubwa kuliko mkifanya wachache coz wanao omba ni kutoka nchi nyingi za Africa an Asia hvo tuna kumbana na challenge za nchi nyingi sasa ukiomba wewe kama wewe jua Tanzania ina pigwa bao vizuri tu na pia sis vijana wa Tanzania tumezidi kuwa wajinga tupo tayari kuufata au kuujua upuuzi tena kwa gharama kubwa kuliko kujua lenye faida au maslahi nalo iwe kwa sasa au mbeleni hapo ndipo gap linaanza, information ni kitu kikubwa na chenye nguvu sna sna, baada ya kupata information kinacho fata ni kufanyia kazi , tukiwa tuna tafuta useful information na tukiungana basi tuta tusua haraka sna

note ukitaka scholarship kwa wepesi sna basi chukua postgraduate na sio undergraduate pia omba vyuo mbali mbali ili ujiweke ktk position nzuri na usinga'ng'anie vyuo vinvyofundisha kwa lugha ya kiingereza tu maana huko competition ni kubwa sna mana kuna nchi kama kenya, Nigeria nk
Pia kufanya mitihani ya ilets ya lugha ya kiingereza
Note kwa yoyote ata kayefanikiwa kusoma CANADA basi yeye kutoboa ni dk sifuri tu 😂😂😂😂 how? , ni rahisi kubaki huko huko CANADA baada ya kumaliza masomo na kupewa resident permit ( work permit ) kuliko marekani au nchi nyingi za ulaya, pia Australia na new Zealand wanafanya kama canada kama sikosei
 
Nilicho jifunza ktk mambo haya , mukiwa wengi ktk michakato hii basi mafanikio ni makubwa kuliko mkifanya wachache coz wanao omba ni kutoka nchi nyingi za Africa an Asia hvo tuna kumbana na challenge za nchi nyingi sasa ukiomba wewe kama wewe jua Tanzania ina pigwa bao vizuri tu na pia sis vijana wa Tanzania tumezidi kuwa wajinga tupo tayari kuufata au kuujua upuuzi tena kwa gharama kubwa kuliko kujua lenye faida au maslahi nalo iwe kwa sasa au mbeleni hapo ndipo gap linaanza, information ni kitu kikubwa na chenye nguvu sna sna, baada ya kupata information kinacho fata ni kufanyia kazi , tukiwa tuna tafuta useful information na tukiungana basi tuta tusua haraka sna

note ukitaka scholarship kwa wepesi sna basi chukua postgraduate na sio undergraduate pia omba vyuo mbali mbali ili ujiweke ktk position nzuri na usinga'ng'anie vyuo vinvyofundisha kwa lugha ya kiingereza tu maana huko competition ni kubwa sna mana kuna nchi kama kenya, Nigeria nk
Pia kufanya mitihani ya ilets ya lugha ya kiingereza
Note kwa yoyote ata kayefanikiwa kusoma CANADA basi yeye kutoboa ni dk sifuri tu 😂😂😂😂 how? , ni rahisi kubaki huko huko CANADA baada ya kumaliza masomo na kupewa resident permit ( work permit ) kuliko marekani au nchi nyingi za ulaya, pia Australia na new Zealand wanafanya kama canada kama sikosei
Ni kweli , na umetoa ushauti mzuri katika mtazamo wako..

Canada na australia wanahitaji immigrants wengi kwenda kufanya kazi rural areas hiko kuna kuwa na uhaba wa nguvu kazi.

Hivyo basi kama ukipata chance ya kusoma huko ni rahisi kupata ajira na ukaidhi vizuri tu!
 
Itabidi uanze na Dating site.. kama uko serious utafanikiwa , sio rahisi inahitaji uinvest muda sana napia uwe vizuri kwenye mazungumzo ya kuchat.. kutengeneza mada nzuri za kumfanya mlengwa wako kuwa interested..

Dating sites/app: Tinder, lovoo, kupid etc
Hii mkuu nilijitaidi kufanya hii mbinu wakati nipof kijana 😂😂😂 ila huwa nilikua na kwama ktk app payment yaani naambiwa credit card mala visa card basi until now nika chemka hebu liweke sawa mkuu
 
Hongera kwa Rais Kenyatta ame sign deal huko U.K kuwapatia wakenya takribani 30,000 nafasi za kazi hiko U.K kutokana na Shortage iliyopo huko...
 
Ni kweli , na umetoa ushauti mzuri katika mtazamo wako..

Canada na australia wanahitaji immigrants wengi kwenda kufanya kazi rural areas hiko kuna kuwa na uhaba wa nguvu kazi.

Hivyo basi kama ukipata chance ya kusoma huko ni rahisi kupata ajira na ukaidhi vizuri tu!
Mkuu came on , kinacho vutia sio hicho ulicho sema bali nilichoma maanisha na ukweli wa system yao ipo hv ( mfn ukisomea umeme kwa miaka 2 chuoni basi ukisha maliza masomo ya darasani utapangiwa field ( mafunzo kwa vitendo ) kulingana na muda uliosoma darasani au chuoni hvo utafanya field kwa miaka 2, sasa wakati wa field lazima usajiliwe na watu wa idara husika Let say electrician working society na utapewa leseni ya Kufanya kazi maana utaenda directly kwa jamii husika kisha kwa utararibu wao pia mtu akiwa ktk hyo field ana weza aka processing permanent resident card , hii ni hiari syo ombi na ita take 1 year ku processing hvo kama ita chukua 2 years ya field basi uta pata permanently resident card ukiwa bado upo field na ikumbukwe hyo field unalipwa kama mfanyakazi na hata ukisoma miaka 5 basi field ni hvo hvo 5 years lakini kwa USA ni tofauti sana watakupa 1 year tena kwa very crucial courses na hawatokupa permanent resident pia kumbuka CANADA EXPRESS ENTRY VISA huwa wana wa favour snasna watu waliosoma CANADA ktk nchi yao that what I was mean
 
Hii mkuu nilijitaidi kufanya hii mbinu wakati nipof kijana 😂😂😂 ila huwa nilikua na kwama ktk app payment yaani naambiwa credit card mala visa card basi until now nika chemka hebu liweke sawa mkuu
Wapo wanaofanya haya masuala ya Dating na wanafanikiwa..

Kiufupi kabla ya WhatsApp/fb na n.k kile kipindi kabla hakuna devices za android na ios ... nilikuwa napenda kuchat for fun tu website kama hi5, waplog ,etc na baadae ndio kuingia kwenye hizi Dating sites...

Nilikuwa na marafiki kadhaa wa kike kutoka U.k Scotland na U.S hawa nimedumu nao zaidi ya miaka mitano tukichat online pamoja na mawasiliano ya kawaida ya simu ,skype ns WhatsApp.
Wawili wameshaolewa na mmoja nilipoteza mawasilano nae...

Nilikuwa bado yanki nasoma , sina kazi...

Imagine mtu ana kuinvite uende U.k /U.S unachungulia nauli kwenye bookung website unapagawa...

Kama hizo offer ningezipata sasa ingekuwa raha sana..!!
 
Mkuu came on , kinacho vutia sio hicho ulicho sema bali nilichoma maanisha na ukweli wa system yao ipo hv ( mfn ukisomea umeme kwa miaka 2 chuoni basi ukisha maliza masomo ya darasani utapangiwa field ( mafunzo kwa vitendo ) kulingana na muda uliosoma darasani au chuoni hvo utafanya field kwa miaka 2, sasa wakati wa field lazima usajiliwe na watu wa idara husika Let say electrician working society na utapewa leseni ya Kufanya kazi maana utaenda directly kwa jamii husika kisha kwa utararibu wao pia mtu akiwa ktk hyo field ana weza aka processing permanent resident card , hii ni hiari syo ombi na ita take 1 year ku processing hvo kama ita chukua 2 years ya field basi uta pata permanently resident card ukiwa bado upo field na ikumbukwe hyo field unalipwa kama mfanyakazi na hata ukisoma miaka 5 basi field ni hvo hvo 5 years lakini kwa USA ni tofauti sana watakupa 1 year tena kwa very crucial courses na hawatokupa permanent resident pia kumbuka CANADA EXPRESS ENTRY VISA huwa wana wa favour snasna watu waliosoma CANADA ktk nchi yao that what I was mean
Nimekupata vyema mkuu!!

Tupe uafafanuzi uelewa wako kuhusu canada express entry -

kwa mtu ambaye hana elimu ya juu wala experience ya miaka kadhaa ya kazi anaweza kufanikiwa???
 
Wapo wanaofanya haya masuala ya Dating na wanafanikiwa..

Kiufupi kabla ya WhatsApp/fb na n.k kile kipindi kabla hakuna devices za android na ios ... nilikuwa napenda kuchat for fun tu website kama hi5, waplog ,etc na baadae ndio kuingia kwenye hizi Dating sites...

Nilikuwa na marafiki kadhaa wa kike kutoka U.k Scotland na U.S hawa nimedumu nao zaidi ya miaka mitano tukichat online pamoja na mawasiliano ya kawaida ya simu ,skype ns WhatsApp.
Wawili wameshaolewa na mmoja nilipoteza mawasilano nae...

Nilikuwa bado yanki nasoma , sina kazi...

Imagine mtu ana kuinvite uende U.k /U.S unachungulia nauli kwenye bookung website unapagawa...

Kama hizo offer ningezipata sasa ingekuwa raha sana..!!
Mkuu hapa kweli ulikosa bahati maana hapa kuna urahisi sana , mimi nimezijua wa kati wa kulipia sasa nilidhani usha jaribu kulipia kupitia credit card au visa card kwa haraka haraka syo hela nyingi ila hzo system za ulupiaji sasa ndio shida na sisi labda visa card na pia kwa utafiti wangu wageni wakija hapa bongo pia huwa wanatumia sna
 
Back
Top Bottom