Lingine Usilolijua kuhusu Konokono ni huweza kulala kwa miaka mitatu wakiwa ndani ya magamba yao, lengo ni kuzuia unyevunyevu ama maji maji kwenye miili yao yasikauke, miili yao ikikosa unyevu konokono hufa.
Did you know that snails can sleep for three years - Mzalendo boy
ππππwatembeleaji 50 kwa siku 50 dollars!!
Daaah iv google AdSense ni baba zakoπππππππππππππ
Tukienda na mwendo huu ntaacha kutumia jamii forum maana tunatiana kamba vitu vya Waz kabsaπππ
Habari za muda huu wakuu!
Mimi blogger na Kuna tatizo linanisumbua naomba msaada weny wenye ujuzi please
Kuna baadhi ya post zangu zina onyesha maandishi ya kiarabu ambayo mimi sikuyaweka na hata mfumo wa post hizo umebadilika, badala ya maneno kuanzia kushoto kwenda kulia yanaanzi kulia kwenda...
N kwel mkuu pana kaugum flan. ila ukikomaa unapata mm nlipata bila domain mwak Jana na kuna jamaa alinfata Bobo nkamuelekez jins ya ku apply naye akapat kwa free domain.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.