"Sisi" Mimi siko kny hiyo Sisi yako nitoe kabisa.Heshimuni Katiba.Mkiona mnanufaika Na aliyepo mnataka hasiondoke ili muendelee kupiga hela.Katiba inasema miaka 10 iheshimiwe.Mimi sioni alichofanya kuwazidi wengine.Hata Mimi nikiwa Rais pia nitafanya Kwa uwezo wangu.When 10 is over aende
Vifo 10 wakati daily vifo vinaripotiwa social media.Anatumia mkono wa chuma kubana Media,Media zingekuwa huru paka sasa Watu wangeigia barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama unavyoona Wabunge ni Wawakilishi wa Wananchi.Nao pia wanawatumia Hawa kama Wawakilishi ili Wananchi waone kweli CCM kumenoga hadi Fulani kahamia.It is just a Fallacy Na Kwa kuwa Wajinga ni wengi hiyo Fallacy inafanya kazi Kwa kiwango chake.Ahsante,Karibu sana
Sent using Jamii Forums...
Habari Wataalam,
Gari yangu ni Vitz 2001. Tatizo la kugoma reverse limeanza kama week 2 zilizopita. Mara nyingine inakubali reverse hasa Asubuhi ninapoiwasha hila baada ya hapo inagoma ni only 10% inakubali. Shida ni nini? Gearbox oil ninayotumia ni Lubex na niliweka January tarehe 8.
Sent...
Mimi nashauriwa nibadili cylinder head gasket lakini Kwa utaalamu wako kuwa kama ikiungua Maji Na oil ujichanganya nafikiri haijaungua.Maana Maji yapo meupe kabisa.Labda nianze kutumia coolant Na pia nirudishe Thermostat.Maana Nina uwezo wa kutola airport paka kinondoni bila gari kuchemsha hila...
Na kuondoa Thermostat kwenye gari mfano Vitz vvti engine.haiwezi kuwa shida ya kufanya Maji kupotea Na hatimae Engine kuchemsha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Gari yangu ni Vitz 2001.Ilikuwa inachemsha nikabadili radiator nikaweka used radiator, ikawa inachemsha Kwa umbali mfupi zaidi.Ikasafishwa ikafungwa Tena.Kwasasa Nina uwezo wa kwenda kutoka airport paka Magomeni Na kurudi hila Maji yanapungua.Natumia maji ya kawaida Na Thermostat ilitolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.