polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,809
Siku hizi kuna wahind na waarabu wanao pangwa mzee wanajifanya ndo wenye magari halafu kwenye kadi unaona jina tuntufye mwakalebela ukiwauliza wanakujibu eti gari alimnunulia na lilisajiliwa kwa jina la msimamizi wa biashara zake kwa sababu alilenga ndio alitumie lakini baadae akaona alitumie mwenyewe kwani alilipenda hivyo huyo msimamizi akampa lingine. hii ndio bongo bwana.Sina uhakika zaidi ila kama unapenda mziki mnene kwenye gari yako gharama ipo very reasonable: