Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Mwalimu alikua ni mtu wa haki sana, ana mapungufu yake ila alikua anamwaga point sana, yeye alikua kila akiongea anasisitiza mshikamano, haki, usawa.Naunga mkono mshangao wa Msekwa.View attachment 1474791
Sisi pia tunamshangaa msekwa kwa kauli yake.yeye alikuwa spika miaka mingi akisimamia umaskini wa kutosha kwa watanzania.leo tumempata JPM wa kutuvusha anasema anashangaa kuongezewa muda? Atulie Tena ale penseni taratibu
Mhenga🤗🤗Magufuli amezungukwa na wazandaki wasio mtakia mema
Kukuvusha kukupeleka wapi?Sisi pia tunamshangaa msekwa kwa kauli yake.yeye alikuwa spika miaka mingi akisimamia umaskini wa kutosha kwa watanzania.leo tumempata JPM wa kutuvusha anasema anashangaa kuongezewa muda? Atulie Tena ale penseni taratibu
Huo ni upuuzi fulani tu! Burundi walimpa Nkurunziza cheo cha KIONGOZI MKUU, aanze kukitumikia, pindi atakapoapishwa Rais mpya. Ni kama vile, bila yeye Burundi haipo. Hicho cheo hajakionja hata kwa sekunde moja. Kafa!Sisi pia tunamshangaa msekwa kwa kauli yake.yeye alikuwa spika miaka mingi akisimamia umaskini wa kutosha kwa watanzania.leo tumempata JPM wa kutuvusha anasema anashangaa kuongezewa muda? Atulie Tena ale penseni taratibu
Sisi pia tunamshangaa msekwa kwa kauli yake.yeye alikuwa spika miaka mingi akisimamia umaskini wa kutosha kwa watanzania.leo tumempata JPM wa kutuvusha anasema anashangaa kuongezewa muda? Atulie Tena ale penseni taratibu
Kwa dhihaka hii (huo mpasho) halafu ndio Kadinali/Balaza la Maaskofu likusaidie!, sahauMsekwa amem consult Pengo?
Magufuli mwenyewe hataki.
Msekwa anawajibu wanatoa maneno ya kutaka na sio anayetaka
Mwalimu alikua ni mtu wa haki sana, ana mapungufu yake ila alikua anamwaga point sana, yeye alikua kila akiongea anasisitiza mshikamano, haki, usawa.
Jiwe kila akiongea unasikia "hamkunipigia kura kamuombe msaada mbunge wenu wa upinzani", amejaa ego wananchi wakisema tunataka hiki anajibu "msinipangie mimi, sijaribiwi".
Tuna kiongozi tako haijawahi tokea toka nchi ipate uhuru. Leo anasema maendeleo hayataki chama, kesho unasikia wanachukua fomu wagombea wa ccm tu wengine wakienda wanakuta ofisi zimefungwa, anarudi tena mi ni rais wa wote sibagui, kesho ukisifia upinzani tu unasikia una kesi ya kuhujumu uchumi, amekaa anacheka tu na bichwa limejaa ka ziwa victoria.