Baba wa Taifa iliwai kusema watz wakikosa mabadiliko ndani ya ccm basi watatoka nje ya ccm .
Na pia kiongozi bora atatoka ccm sasa tumempata ni lowassaaaa
kaishiwa huyu hivi wamegundua sasa lowassa ni punguani why? Walimpatia uwaziri mkuu mh kaishiwa au mwanakijiji anataka kufa soon tutazika RI P mwanakijiji tulikupenda Sana ila mungu kakupenda Sana tutakutana huko lakini Tanzania rais ni lowassa
Nataka urudi miaka ya nyuma kabla ya uhuru/nyerere pia hajazariwa kulikuwa na chama gani zaidi ya wakoloni weupe? Baadae hao hao wakoloni walijigawa vikawa vyama vyingi sana mpaka uhuru so mweusi mkoloni kaamua likability kwa wenye nchi kwa kuwa wenyewe wameamua kuchukua nchi yao iwe isiwe...
Unajua wtz hua hatuna na mazoe ya kuhoji /kuuliza maswara ya viongozi ila watu wanahoji mkuu wa majeshi yuko wapi? Kwa kuwa kuna uvumi kalishwa sumu kwa hiyo tunataka majibu ya hoja kwa ifasaha hapa hakuna aliye husisha siasa wala chama sasa huyu anaekurupuka kuongelea ukawa mi nahisi anaugonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.