Sivutiwi kabisa na clouds TV kiasi kwamba kila nikijaribu kujilazimisha kuiangali ndio nazidi kuchefuka.
Hawa jamaa wasoma magazeti asubuhi utadhani wako katika kijiwe cha kahawa, maneno yao hovyoo! duh.
wanaitaji viongoz thabiti
Nilidhani ni mimi mwenyewe siku nilipoangalia hicho kipindi hao vijana niliona wanaongea kama watu wanaopiga story kijiweni! Siwezi kurudia tena kuwasikiliza..
hakuna redio inasikiliza na watu wengi kama cloud fm
We kweli kichaa.... Cloud hata hapo Pwani, Kibaha haishiki.... Radio one ndio inaongoza
We kweli kichaa.... Cloud hata hapo Pwani, Kibaha haishiki.... Radio one ndio inaongoza
Wanasoma sana gazet la uhuru ad hudson kamwaga kajshtukia kasema wik ijayo baadh ya mgagazet hawatayasoma.
hakuna redio inasikiliza na watu wengi kama cloud fm
We kweli kichaa.... Cloud hata hapo Pwani, Kibaha haishiki.... Radio one ndio inaongoza
Umedandia gari kwa mbele, mleta mada anaongelea CLOUDS TV. Ina maana hujui tofauti ya Clouds Tv(Television) na Clouds Fm (Radio)????hakuna redio inasikiliza na watu wengi kama cloud fm