Niliyoyagundua
Sebuleni kuligeuka Bedroom siku za mwanzo - TV ilikuwa on muda mwingi, wavulana utawakuta kwenye Game au mabinti kwenye series
Chakula tulichowapimia hakikutosha hasa ubwabwa wa usiku, ilibidi vikombe vya ziada viongezwe
Kipanya yupo sahihi, huwezi kusikia Media zinawataka wasasiasa wawajibike kwa wizi, huwezi sikia mmedia imeripoti matukio ya watu kuuawa na makampuni ya migodi, n.k.
Vitu vingi ni mpaka serikali ikiri baada baada ya watu kushare videos au ushahidi mitandaoni ndio media zinaanza kuripoti.
Alimapomaliza form 4 alipata division 2 lakini alipatwa na msiba, hakuweza kuendelea na shule kwasabau za kiuchumi.
Alienda mafunzo ya mgambo lakini alipomaliza kuna pesa za usimamizi wa mirathi zilitoka akaenda kusoma Diploma ya Mechanical Engineering
Je, akienda JKT anaweza kupewa kipaumbele...
Kwa Tanzania na nchi nyingi Afrika hu msemo unawafaa zaidi watu waliojiajiri.
Kama umeajiriwa unajisumbua tu, mshahara utabaki kuwa pale pale, ndio maana watu makazini wanapiga stori na wanazurura sana huwakuti ofisini. wanaopandishwa vyeo wengi ni machawa, wanaotoa rushwa, ndugu na wale wenye...
Nakumbuka uliwahi kuweka kisa humu cha mbibi alietoka Mwanza vijijini kwenda kutibiwa Dar, aliboreka kukaa sehemu ya kishua kila siku anataka kurudi kwao huko kijijini 😂
Mtu akizoea mazingira ni ngumu sana kumuhamisha, kuna watu washazoea uswahilini, yale maisha kwao ndio yanawapa utulivu,
Ngao ya jamii ilikuwa ni timu 2 kwa miaka mingi lakini Simba ilipoanza kukosa nafasi ya kushiriki, Karia akaongeza ziwe timu 4.
Nasikitika kusema kwamba kwa maksudi mechi za nusu fainali wanaweza kupanga Simba vs Yanga
Kwa jinsi Yanga wanavyojiandaa huku Simba tukiwa bize kutafuta mchawi, hiki...
Sio dunia nzima mkuu,
Ingia youtube kuna jamaa huwa anadondosha hela maksudi, watu weusi wengi huwa wanaiba hawamwambii lakini wazungu, wachina, wahindi, wengi wanamstua amedondosha
Wakiiba pesa wanaishi maisha yasiyo na shida za pesa, Hospitali ni zile premium za India, kusomesha watoto vyuo vya nje, magari ya kifahari, kujenga majumba ya kifahari, safari za Dubai, kula bata ndefu.
Ni wazalendo wachache sana wanaochukia ufisadi, Ukali Wetu wengi si kwa Sababu ya Maumivu ya Ufisadi, Ni kwa sababu hatukuitwa meza ya mgao
Dili likipigwa iwe ni ofisi au watu flani wamepiga hela, ghafla tunakuwa wakali sana, midomo inapiga kelele kama injini ya gari ya mgambo. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.