Recent content by watch the thinker

  1. W

    Mashine ya juice ya miwa inauzwa

    Mashine ya juice ya miwa inayotumia umeme na mafuta inauzwa Bei 850,000 WhatsApp no.0686298896 Location.dodoma
  2. W

    Nauza Mashine ya juice

    Mashine ya juice ya miwa inayotumia umeme na mafuta inauzwa Bei 850,000 WhatsApp no.0686298896 Location.dodoma
  3. W

    Habar zenu wadau kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa inayotumia mafuta na umeme ipo sokoni inauzwa

    Kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa ipo sokon inauzwa mashine inatumia umeme na mafuta mashine pia ina kibanda cha kujikinga na jua Bei yake ni 950000 WhatsApp 0686298896 Location .dodoma
  4. W

    Nina laki 9 nataka nichukue pikipiki used ya laki 5 halafu inayobaki nichukue dagaa wa kukaanga wa Mwanza niuze kwa rejareja na jumla

    Nilikuwa naomba ushauri wenu kwenye hiyo laki 9 nichukue pikipiki used ya laki 5 niifanye kama boda ya kuniingizia kipato alafu pia niwe naitumia kwenda kuuza dagaa sehemu mbali mali hasa hasa nyakati za jion sehemu zenye mzunguko mkubwa wa biashara. So nilikuwa naomba kipi nianze nacho kati...
  5. W

    Ushauri: Nina wazo la kukopa pesa benki nichukue bajaj

    Ni maneno magumu ila kwa upande mwingeni yuko sahihi
  6. W

    Ushauri: Nina wazo la kukopa pesa benki nichukue bajaj

    Shukran sana Shukran kwa ushauri wako hapo kuna kitu nimekipata uko sahihi
  7. W

    Ushauri: Nina wazo la kukopa pesa benki nichukue bajaj

    Nikope milion 6 nichuke bajaj used au nikope milion 10 nichukue bajaj mpya ila kabla sijaenda kuchukua mkopo. Nlikuwa naomba ushauri wenu nichukue bajaji used au mpya kupitia mkopo bank?
Back
Top Bottom