Kwa yoyote anayehitaji mashine ya juice ya miwa ipo sokon inauzwa mashine inatumia umeme na mafuta mashine pia ina kibanda cha kujikinga na jua
Bei yake ni 950000
WhatsApp 0686298896
Location .dodoma
Nilikuwa naomba ushauri wenu kwenye hiyo laki 9 nichukue pikipiki used ya laki 5 niifanye kama boda ya kuniingizia kipato alafu pia niwe naitumia kwenda kuuza dagaa sehemu mbali mali hasa hasa nyakati za jion sehemu zenye mzunguko mkubwa wa biashara.
So nilikuwa naomba kipi nianze nacho kati...
Nikope milion 6 nichuke bajaj used au nikope milion 10 nichukue bajaj mpya ila kabla sijaenda kuchukua mkopo.
Nlikuwa naomba ushauri wenu nichukue bajaji used au mpya kupitia mkopo bank?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.