Ilikuwa saa tatu usiku, nakumbuka nilikuwa room nimechill kisha nikaamua niende nje nijiburudishe kidogo. muda huo wazazi walikuwepo sebuleni wakitazama TV, hivyo nilipaswa kuwa mwepesi, nitoke haraka kimya kimya kisha nirudi bila wao hata kugundua.
Basi nikaenda nje nikajibanza katikati ya...
Nimeishi Arusha.
Wenyeji ni waarusha, wameru na wamasai ila hali zao za uchumi zipo chini, wachache kati.
ukichukua watu wa Arusha wanaoishi uchumi wa kati na wa juu, wengi ni wachaga.
Wapare wengi wana hali za kawaida.
Warangi, wanyaturu, Wairaq na wanyiramba wamehamia Arusha lakini hali...
Cha ajabu nimesoma uzi wote 98% wanaozungumziwa ni wachaga
Kusema kuogopwa umekosea labda useme impact
wapare hata mimi sijaona impact yao.
Shuleni nimesoma na wapare uwezo ni wa kawaida, vinara wa biashara wanaojulikana ni wachaga, wapemba, wakinga na waha wanafuata wengine, sina maana ya...
Ni vita ya ndani kwa ndani, kuna Wabunge wanaende kupigwa hostile take over na wenzao
Kuna Wabunge wanaende kukutana na ushindani mkali wa kubakiza nafasi zao za kugombea ubunge 2025.
1. LUHAGA MPINA - huyu hata ashinde kura za maoni, ATAENGULIWA
2. NDUNGAI - Mzee hatoboi kura za maoni, ishu inamalizika chini kwa chini
3. GAMBO - apambane sana
Soma Pia: Ushindani utakuwa ni mkali ndani ya CCM katika kumtafuta wa kupeperusha bendera ya Chama. Wengine hawatarejea Bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.