Sisi vijana hua tunamaamuzi ya Gafla sana na mda mwingi tunajikuta tunahitaji kuwa na Furaha lakni pia tunatakiwa kujua Ruraha ni Gharama na ni Faragha pia
In case awe amuamua kuishi na kisasi ndani yake never know akaingia kwenye mahusiano mapya akakutana na mapungufu mengine huko unadhan akiamua ku Revenge nini kitatokea huko😃
Msamehe mkeo kama kwel unampenda maisha yaendelee ..wanaume tupunguze ubinafsi ..pia usihitaji ushauri sana kwa kile unachoona maslahi mapana yako juu yako Take Care.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.