Recent content by waraha135

  1. waraha135

    Shule bora ya kidato cha kwanza ni ipi? Na yenye gharama nafuu

    Habari wana jamii nauliza ni shule ipi bora na nzuri kwa mtoto wa kike aliemaliza darasa la saba? Ambayo ina ufaulu mzuri na yenye gharama nafuu na ni ya bweni? Msaada kwa anaejua.
  2. waraha135

    Hii

    Ahsante sana babu
  3. waraha135

    Kwanini Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hatelezi?

    Mh PM ni Raisi afaaaee baaada ya chuma. Mungu ambariki siku moja ashike inchi
  4. waraha135

    Huyu Mlinzi wa Rais Magufuli kapatwa na majanga gani tena?

    Wengi wamepeleka mikoani na mawilayani
  5. waraha135

    Hii

    Hii hia
Back
Top Bottom