waraha135 Member May 10, 2019 11 2 Oct 16, 2019 #1 Habari wana jamii nauliza ni shule ipi bora na nzuri kwa mtoto wa kike aliemaliza darasa la saba? Ambayo ina ufaulu mzuri na yenye gharama nafuu na ni ya bweni? Msaada kwa anaejua.
Habari wana jamii nauliza ni shule ipi bora na nzuri kwa mtoto wa kike aliemaliza darasa la saba? Ambayo ina ufaulu mzuri na yenye gharama nafuu na ni ya bweni? Msaada kwa anaejua.
Baba Swalehe JF-Expert Member Jun 6, 2017 19,526 37,943 Oct 16, 2019 #3 Pandahill Mbeya Lakini ajiandae mziki wa interview
Kambaku JF-Expert Member Nov 12, 2011 7,173 26,813 Oct 16, 2019 #4 Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu
Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu
Gyole JF-Expert Member Sep 20, 2013 7,007 7,045 Oct 16, 2019 #5 Shule nzuri gharama nafuu ni mtihani sana
data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,151 22,726 Oct 16, 2019 #6 Uko mkoa gani!? Au unataka mwanao akasome mkoa gani!? Be specific. Shule zipo nyingi. Sasa sijui hiyo gharama nafuu wewe ianzie shilingi ngapi?
Uko mkoa gani!? Au unataka mwanao akasome mkoa gani!? Be specific. Shule zipo nyingi. Sasa sijui hiyo gharama nafuu wewe ianzie shilingi ngapi?
waraha135 Member May 10, 2019 11 2 Nov 2, 2019 Thread starter #9 Shukrani Baba Swalehe said: Pandahill mbeya Lakini ajiandae mziki wa interview Click to expand...
waraha135 Member May 10, 2019 11 2 Nov 2, 2019 Thread starter #10 Iwe mikoa ya Mwanza na Dodoma data said: Uko mkoa gani!? Au unataka mwanao akasome mkoa gani!? Be specific. Shule zipo nyingi. Sasa sijui hiyo gharama nafuu wewe ianzie shg ngapi!?? Click to expand...
Iwe mikoa ya Mwanza na Dodoma data said: Uko mkoa gani!? Au unataka mwanao akasome mkoa gani!? Be specific. Shule zipo nyingi. Sasa sijui hiyo gharama nafuu wewe ianzie shg ngapi!?? Click to expand...
waraha135 Member May 10, 2019 11 2 Nov 2, 2019 Thread starter #11 Ubora wa shule Kambaku said: Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu Click to expand...
Ubora wa shule Kambaku said: Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu Click to expand...
M Michewen JF-Expert Member Jun 27, 2012 24,565 32,210 Nov 2, 2019 #12 waraha135 said: Iwe mikoa ya mwanza na dodoma Click to expand... Ubora=Gharama
a45 JF-Expert Member Sep 2, 2017 1,325 1,403 Nov 9, 2019 #13 Kambaku said: Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu Click to expand... Kabisa mkuu ubora unaendana na gharama " value for money" Nadhani alitakiwa kuandika shule yenye ubora with reasonable fees
Kambaku said: Huo mzani kuubalansi huwa ni kazi sana mkuu, shule nzuri alafu gharama nafuu! Hapa utajikuta unatakiwa kuchagua kimoja mkuu wangu Click to expand... Kabisa mkuu ubora unaendana na gharama " value for money" Nadhani alitakiwa kuandika shule yenye ubora with reasonable fees