Recent content by war boi lupa

  1. war boi lupa

    Kwa mwendo huu soka letu litaishia maneno tu

    Mbona timu ipo kambini...au wewe unazungumzia timu gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. war boi lupa

    Hiki kisa cha huyu mwanaume aliyetembea na shemeji yake kimenifunza.

    Huyu B snitch..sio rafiki wa kweli...nahic jamaa hataki agombane na B kisa mwanamke ndo maana kawa kimya... Sent using Jamii Forums mobile app
  3. war boi lupa

    Nimeitwa ukweni Singida, mwenye kuzijua desturi za Wanyaturu

    Makabila kama Wanyaturu au Warangi co ya kuoa kabisa...Ni wazuri vibaya mno lakini wanatembeza iyo K kinoma Mama Alishawah kunipa list ya makabila ambayo hatokubali nioe wakiwemo wanyaturu na warangi. Kama huamini kaoe tutashare wote hiyo K ya mke wako wala hatuteseki arif
  4. war boi lupa

    Nimeitwa ukweni Singida, mwenye kuzijua desturi za Wanyaturu

    Mama yako hakuwahi kukutajia makabila ambayo co mazuri kwa kuoa?
  5. war boi lupa

    Law of sales of goods

    Sales of Goods Act CAP 214 R.E 2002
  6. war boi lupa

    Itakuwaje siku ukitokewa na malaika mbongo yaan mweus asiwe mzungu mweupe

    Umejuaje kama malaika ni wazungu? Ushawahi kuwaona? Au muvi zile za yesu ndo zimekuharibu?
  7. war boi lupa

    CHABO: Kilichomkuta Ibrahimu wa Mwananyamala

    [emoji23][emoji23][emoji23] kiherehere mafuta kikamuisha
  8. war boi lupa

    Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

    Ila we mshkaji unaonekana ni mnoko vby mno... Napita tu co kwa ugomvi lkn... Ukimaind aikatai...
  9. war boi lupa

    Zimebaki siku 40 mwaka 2018,Tuambiane mafanikio,Mikosi na kitu chochote cha maana ulichokifanya

    Duh u mwaka ndo umenifanya nijue kuwa kuna washkaj masnitch sana...nlikuwa najua washkaji ndo watu wa karibu sana na ukiwa na shida wanakuwa wa kwanza kukusave kumbe ni tofautiii...washkaj wanataka ww uwafanyie kila kitu wao wanarelax af siku ukipatwa na jambo unajikuta umesimama peke yako...
  10. war boi lupa

    Fursa ndani ya Babati - Manyara

    Nadhani hujaelewa vizuri comments zangu dada soma vizuri
  11. war boi lupa

    Fursa ndani ya Babati - Manyara

    Dingoo acha ushamba [emoji23][emoji23][emoji23]
  12. war boi lupa

    Thiery Henry ukocha si kama ulivyokuwa unauza sura SKY SPORTS , hii ni kazi ngumu hasa .

    Unapataje ujasiri wa kusema haezi fika popote kwa timu mbovu kama ile? Leonardo Jardim mwenyew kwa uwezo wake alonao kashindwa kupata ushindi kwenye mechi sita za ligi zote kapigwa af unategemea Henry afanye nini!
  13. war boi lupa

    Fursa ndani ya Babati - Manyara

    Nimekutolea mfano na nimekutajia pia kuna Radio Manyara 92.1 na wewe ulivyo muongo unasema eti imefungiwa...labda wewe ndo umeifungia Napokwambia umekurupuka namaanisha unatoa mrejesho wa ulichokiona sio uhalisia...mimi nimekupa uhalisia wa mji wa Babati Rudi ukafanye utafiti uje utoe mrejesho...
  14. war boi lupa

    Fursa ndani ya Babati - Manyara

    Njoo uungane na waha wenzako mjini ukakopeshe wamama mitaani Fursa hiyo waha wenzako wanaishughulikia [emoji23][emoji23][emoji23]
  15. war boi lupa

    Fursa ndani ya Babati - Manyara

    Usichukie mimi kukuprove wrong unataka kupoteza watu kwa kitu ambacho hukijui...ndo maana nakwambia tena umekurupuka Hujafanya research yoyote kwa ulichokisema kwenye uzi wako
Back
Top Bottom