Duu mkuu nimekupata ila nataka kujua tu majukumu ya kila mmoja katika kuhakikisha mwananchi anapata huduma! Nini majukumu ya mkuu wa kituo, kamati ya afya ya kituo, ofisi ya mganga mkuu wa kituo, MSD na wizara? Kwa uelewa wangu mdogo najua mkuu wa kituo anakazi ya kuandaa mahitaji na...
Naanza kuhisi amekurupuka huyu, kama anania ya kusaidia hao anaowawakilisha ataje kituo na ninavyowafahamu msd kwa kutopenda kero kesho tu wananchi hao anaowatetea watapelekewa dawa na huo ndiyo msaada pekee kwa mzalendo wa kweli.
Habari hizi ni nzuri kwa maslahi ya watanzania wote ila waliokutwa na tatizo hili hawawezi saidiwa kama kiongozi huwezi sema ni kituo gani kimekutwa na hili janga, hiyo itasaidia MSD wafuatilie na kujirekebisha. Nakushauri kitaje hicho kituo ili hatua za makusudi zichukuliwe kusaidia wananchi hao.
Zito na Mkumbo, nawapongeza kwa maelezo yenu na huu ndio ukomavu wa kisiasa, maana ukiletewa hoja hutakiwi kukimbia badala yake unatakiwa kukabiliana nayo na ikiwezekana kuijibu ipasavyo. Hapa mmeonyesha mmekomaa na katika siasa haya yote lazima yatokee maana yasipotokea ujue kuna tatizo humo...
ukweli uko palepale kuwa ulimbukeni umeshika kasi Tanzania, viongozi na watanzania walio wengi wanapenda kutalii nje ya nchi na hili ni tatizo kubwa sana katika uwekezaji. sasa fikiria unakabidhi vitalu vyote kwa wazawa, nje tutaendaje sasa? maana ukitaka kutembelea ofisi zao wawekezaji utaishia...
As a thinker lakini si mwanasheria kuna haya nimeyaona ambayo Mh. anakiri;
anamfahamu binti/mama huyo
alishawahi kukutana naye
kweli ni mwanafunzi licha ya level
alishawahi kumsaidia tena mara mbili
alishaachana nae
yakujiuliza;
unajuaje kuwa huyu ni binti au mama? test
makabidhiano ya...
nina wasiwasi siku wakristu wakikengeuka na kuwa kama "waislamu" hawa wanaomuamini ponda badala ya Allah, kazi itakuwa ngumu kwelikweli. Tuvumiliane jamani.
hao wanaojiita waislamu kwa kweli wanaleta shida kubwa, Lakini nafikiri tuna usalama wa Taifa na hii ni kazi yao kuzima vituko kama hivi bila kwenda public, au wazee hamupo!!
Unajua Zitto huwa simwelewi! ukimwangalia anakuwa kama kigeugeu hivi, anakosa subira na kiongozi mzuri subira, umoja, upendo, busara na heshima kwa viongozi wenzako muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.