Recent content by Wantahe

  1. W

    Walinzi wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA hupata mafunzo toka wapi?

    Hata la kinondoni lilikwama
  2. W

    Alichofanyiwa CAG hakistahili kurudiwa tena

    Itakuwa aliitwa ili kurekebisha kauli mbele ya Mkulu
  3. W

    Kumsingizia Rais Magufuli ufisadi haiwezi kumzuia kupambana na mafisadi

    Habari ya Mujini Maswali uliyoweka niya muhimu sana, lakini mwandishi gani atauliza? Nani asiyependa kuishi?
  4. W

    Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

    Hilo jarida/gazeti litafungwa hata kabla ya toleo la kwanza halijawafikia wasomaji wengi
  5. W

    ACT Wazalendo: CCM malaghai, Bunge liagize ukaguzi maalumu juu ya matumizi ya Shilingi Trilioni 1.5 za Watanzania

    Hoja ni nzuri, ila nani amfunge paka kengere? Ndugai, Tulia, au Chenge?
  6. W

    Picha: Huyu ndiye mke wa Ali Kiba

    Baada ya makeup yuko hivyo ni mzuri, je kabla ya makeup yuko je?
  7. W

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Marekani na washirika wake wanapoua raia wa Syria wanawatetea akina nani?
  8. W

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Kwa mtazamo wako, unaona Assad anafurahia Vita? Anafurahia wananchi wake kuuwawa? Anafurahia uchumi wa nchi yake kuporomoka?
  9. W

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Did he start the war? He took oath to defend his country from internal and external enemies..! Yes there is a good number of civilians died in this war, but is there any proof that all of them have been killed by Assad forces only? If not why should he held responsible?
  10. W

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Kila Vita ina gharama zake.
  11. W

    Rais wa Syria akimbomoa mwandishi wa Marekani

    Unapoa tuhuma, unatakiwa utoe ushahidi wa kuthibitisha tuhuma, hiyo ndo hoja ya Assad, kisheria yuko sahihi. Mwandishi kamjazia maelezo ya kusikia na picha za kutengeneza. Those are not evidences are just documents...! You have to know that "not every document is an evidence"
  12. W

    Pendekezo: Kambi rasmi ya upinzani bungeni isisome hotuba zake kwenye Bunge la bajeti

    Hilo lilijulikana hata kabla ya kutekelezwa, ndo maana azma haikufanikiwa
  13. W

    Pendekezo: Kambi rasmi ya upinzani bungeni isisome hotuba zake kwenye Bunge la bajeti

    Naunga mkono hoja ya kambi ya upinzani Bungeni kutosoma hotuba za maoni mbadala, Uongozi wa Bunge na Serikali havitaki mawazo mbadala, pia hawawataki wapinzani, wanatamani Wawa"eliminate"
  14. W

    DODOMA: Spika Ndugai aeleza sababu ya kiongozi wa upinzani bungeni kutokuwa na gari lake

    HAKUNA haja ya kusoma hotuba za kambi rasmi ya upinzani kwa sababu uongozi wa Bunge na Serikali havitaki mawazo mbadala.
Back
Top Bottom