patrick80
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 737
- 607
Umevulugwa sanaSio maandamano ya da'Mange tena? Duh.
Umevulugwa sanaSio maandamano ya da'Mange tena? Duh.
JIZI ZALENDO ndio habari ya mujini.
na litashughulikiwa kizalendo .JIZI ZALENDO ndio habari ya mujini.
Zitto amekuwa mwenyekiti wa PAC kwa miaka nane na kila mwaka alichambua report za CAG Kwa weledi mkuuHapo ACT kuna nani mwenye elimu ya weledi wa kufanya ukaguzi??
Tutajiwe na elimu zao na kaguzi walizowahi kuzifanya
Yale yaliyo tokea NSSF na miradi ya kule kigamboni vipi hakuyaona?Zitto amekuwa mwenyekiti wa PAC kwa miaka nane na kila mwaka alichambua report za CAG Kwa weledi mkuu
Unadhani Polepole aliwahi kukagua ripoti gani ya kifedha na uchumi maisha yake zaidi ya fedha za kuwanunua madiwani wa upinzani?
Nashangaa hii ripoti ya 1.5 kufafanuliwa na wanasiasa badala ya wataalamu wa uchumi
Unatupotezea muda na kutupandisha hasira wee mpumbavu..., nenda FB ndiko kunakopatikana watu wa umri wako na akili zenu...Baada ya kufuatilia mabishano ya hawa wanasiasa wawili kuhusu 1.5 Tillion, kuna swali nikajiuliza.
Zito ametunga(ameuliza) swali kuwa 1.5T zimeenda wapi, na Mr Polepole amejibu kuwa hakuna pesa iliyopotea tena kwa hesabu nyepesi sana.
Sifahamu katika kulitunga hili swali Mr Zitto alifanya analysis ya kiasi gani na vilevile Mr Polepole katika kujibu hili swali tena darasani alifanya analysis ya kiasi gani?
Mimi nilichokiona ni kama ifuatavyo.
1; Swali alilotunga(alilouliza) Mr Zitto siyo sahihi kwa sababu hajafanya analysis ya kutosha katika kulitunga swali lake.
2: Jibu la Polepole siyo sahihi kwa sababu kajibu swali ambalo siyo sahihi .
JE IPI NI KAZI NGUMU KATI YA KUTUNGA SWALI NA KUJIBU SWALI?
Baada ya kufuatilia mabishano ya hawa wanasiasa wawili kuhusu 1.5 Tillion, kuna swali nikajiuliza.
Zito ametunga(ameuliza) swali kuwa 1.5T zimeenda wapi, na Mr Polepole amejibu kuwa hakuna pesa iliyopotea tena kwa hesabu nyepesi sana.
Sifahamu katika kulitunga hili swali Mr Zitto alifanya analysis ya kiasi gani na vilevile Mr Polepole katika kujibu hili swali tena darasani alifanya analysis ya kiasi gani?
Mimi nilichokiona ni kama ifuatavyo.
1; Swali alilotunga(alilouliza) Mr Zitto siyo sahihi kwa sababu hajafanya analysis ya kutosha katika kulitunga swali lake.
2: Jibu la Polepole siyo sahihi kwa sababu kajibu swali ambalo siyo sahihi .
JE IPI NI KAZI NGUMU KATI YA KUTUNGA SWALI NA KUJIBU SWALI?
Sio lazima ujibu au uchangie kila post humu..., hoja hii ya WIZI wa 1.5 Trillion si ya Zitto.., ni hoja ya OFISI ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...Hawa watoto wanaona Watanzania wajinga kweli. Wanafikiri hii ndio taarifa ya kwanza ya CAG Watanzania ndio wanaisikia.
Serikali itatoa taarifa zake za kina kwa umma pale itakapobidi. Huu msuli wa kuichafua serikali ni kazi bure na mwisho wake ni aibu kama ile ya tangazo la njaa, malipo ya dream line boing 787