Recent content by Wanjiro

  1. W

    Shida ya ukosefu wa ajira sio mfumo wa elimu tu, watanzania wengi hawaajiriki, ni wavivu na wezi

    Tatizo pia ni mishahara, Mimi niliwahi kupewa ajira ya mkataba wa miezi SITA kwenye shirika Moja la kimataifa na nilikuwa ndo kwanza nimemaliza chuo. Mshahara niliambiwa milioni tatu Kwa mwezi take home, sikuamini. Kila siku nilikuwa nawaza kazi. Kuripoti ni saa mbili lakini Mimi nilikuwa...
  2. W

    Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Ungeshare kinachokusibu maana sisi wengine tukikwambia yakwetu unaweza ukajiona wewe ni mjinga.
  3. W

    Ushuhuda usiyoyajua kuhusu kesi za ubakaji za wanafunzi

    Yeye alikubali vipi kuishi na Binti?
  4. W

    Mume wa shangazi ananitaka kimapenzi, naomba ushauri

    Mimi elimu yangu sio kubwa niliishia std 7, nina miaka 19, nimepitia changamoto nyingi sana za maisha. Mama na baba walitengana mimi nikiwa darasa la pili, kwahiyo nimeishi na baba kijijini huko mpaka nikamaliza la 7. Nilipomaliza nikipata kazi za ndani mjini, nikaenda kwa huyo mama kufanya u...
  5. W

    SoC02 Maamuzi magumu ya Tanzania kujitegemea ndani ya miaka 20

    Nzuri sana sema hapa serikali inabidi iwe committed sana sana, isiwe serikali ya kimchongo mchongo.
  6. W

    Nikiona binadamu anazikwa nachanganyikiwa mno

    Yes, hata Biblia inathibitisha kuwa kifo ni usingizi mzito. Ayu 18:17 Kumbukumbu lake litakoma katika nchi, Wala hatakuwa na jina mashambani. Yohana 11:11 11 Kisha Yesu akasema, “Rafiki yetu Lazaro sasa amelala, lakini nitakwenda ili nimwamshe.” Kwahiyo tumaini Pekee na mwenye nguvu ya...
  7. W

    Mnaomchukia Rais Samia mna hoja au ni chuki tu?

    Kwanza kama huoni mama ana tatizo basi vijana ni WA hovyo kabisa na Tanzania tusahau kuendelea. Issue hapa sio ugumu wa maisha, maana hakuna siku maisha yamewahi kuwa marahisi. Mimi mama namchukia kabisa bila unafiki sio tu kisa vitu vimepanda. Ila anaiongoza nchi bila maono yaani mbele...
  8. W

    Jina la mwanangu limezua vita ya kifamilia

    Ko alikupa jina la kinkunti ?[emoji23][emoji23]
  9. W

    Tujikumbushe Baraza la Mawaziri 2005

    Mwigulu sio, hakuwa wazir
  10. W

    Leo nimeelewa kwanini mzee alifanya maamuzi yale 30 years ago

    Fala sana daaahh![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. W

    Tukiachana na ugumu wa Maisha, Tanzania ni moja ya nchi zenye vijana wasiojitambua kwa kiwango kikubwa

    80% kubwa sana mzee , haiwezekani Taifa kuwa na vijana wa hovyo 80%.
  12. W

    Kwanini vijana wanakufa sana kushinda wazee?

    Japo utafiti wako ni wa kimtazamo na sio data. Na mimi nitachangia kimtazamo. Vijana kwa Sasa wanapambana sana na life na wapo tayari kwa lolote. Wanafanya Kazi hatarishi, wale ambao wamejikatia tamaa, hakuna ajira, wanapata stress na wanaishia kulewa na kutumia dawa za kulevya. Wale wakike...
Back
Top Bottom