Recent content by Wanguzurey

  1. Wanguzurey

    Najichukia kwa hili tatizo langu la ngozi, nimekosa mwenza

    Nenda kanisani kaombewe rafiki yangu, usimkufuru mungu kwa kuchukua hali yako, wangapi ambao ni walemavu wa viungo vyote!!! Wewe ni ngozi tuu dadaa
  2. Wanguzurey

    Ushauri kwa huyu mwenzetu, muda wowote anaweza jiua

    Na huenda alomkiss nayy alikuwa analipa ada pia, so kk asijione amegharamia peke yake
  3. Wanguzurey

    Kibosile amtema Tunda baada ya kugundua anachepuka na Diamond

    Type ya mtu Ndiyo itadetermine!
  4. Wanguzurey

    Kibosile amtema Tunda baada ya kugundua anachepuka na Diamond

    Yaan dah!! Ningempata Mimi huyo wa kunipa million hizo, natulia tuli hamna kubwabwaja na wabanduaji wa njee[emoji14] [emoji14] [emoji14]
  5. Wanguzurey

    Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

    Hongera kwa wivu wa kutaman kujua zaidii
  6. Wanguzurey

    Natafuta mashine ya kukamulia juice ya miwa

    Weka picha na wengine tuione
  7. Wanguzurey

    Mambo gani yamejificha nyuma ya uhakiki usiomalizika?

    Sasa wahakiki nao ni Nouma wakali. Kama nn hamna kuelekezwa cha kufanya ukifika sehem ya tukio labda wakuelekeze waliotangulia, na ukikosea tu hata kupanga vyeti tu vinavyotakiwa mtu anagomewa ka ninii
  8. Wanguzurey

    Mambo gani yamejificha nyuma ya uhakiki usiomalizika?

    Sio mitano tu, sis huku kwetu uhakiki tulianza mwez February had sasa still[emoji124] [emoji124] [emoji124] unaendeleaa
  9. Wanguzurey

    Utajuaje mke au mpenzi wako amefika kileleni?

    Nitaisoma baadae[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Back
Top Bottom