Wote hali ni moja mkuu. Lowasa + kikwete wote mafisad na wote walihusika kwenye mikataba mibovu kama vile Richmond ila badae wakageukana wao kwa wao na ndo maana wengne wanasaka urais kwa hali na uvumba ili walipeze vsas.
Ngoja tuone hii game japo 1995 enzi za mwl.nyerere huyu mheshimiwa alikatwa ila ikumbukwe kuwa hata rais awamu ya 4 mwal.alimkataa pia kwa wakat ule akamwambia subiri kwanza kaka yako mkapa aingie then nawe utafuata. Sasa hii Vita ya sasa ya mmasai na mkwere kaz ipo. Uwanja utakuwa Mdogo mbona.
1- watanzania wakikosa kuyaona maendeleo ndani ya CCM watayafuata nje ya CCM.
2-CCM itauliwa na wanaccm wenyewe.
3-Kiongoz bora atatoka ndani ya CCM.
4-Wapinzani wa kweli watatoka ndani ya CCM.
Swali
1- inamaana watanzani wameyakosa maendeleo ndani CCM?
2-Ndo CCM inauliwa na wenyewe...
Ikiwa prof. Lipumba aliungana na wenzake kwenye huu umoja wa vyama vinavyopinga katiba yaani ukawa. Na pia wakaja wakaafikiana kuunga kwa ajili ya kukiondoa madarakani CCM inakuwaje leo anajiuzulu uwadhifa wake wa m/kiti je haoni kama amekiuza chama chake cha CUF? Na kama wenzake wamekiuka...
Sawa bt na wewe una uhakika gani kama hakuiba? Au nawe unachukulia kuwa watanzani ni wajinga au hzo tuhuma anazohusishwa kabambikiziwa na kwann alijiuzulu? Mkuu unachokifanya wewe ni kutaka kuchukua muda mrefu kusafisha kaniki wakat unajua rangi yake tubadilike-sasa
Naomba wadau wa siasa tusaidiane hapa, hili jambo linamaana gani kwenye siasa kiujumla hapo inaonesha kuna upinzani wa kimaendeleo au ni upinzani wa maneno kwenye mikutano ya bunge? Inamana gani kumbe kumuita mtu fisad,mlaghai uchumi,mbadhilifu wa Mali za umma,nk halafu leo wanampokea kwa...
Kiukwel ukiliangalia hili swala kwa jicho la kipekee( au kwa jicho la tatu) kwa jins huyu lowasa anavyotafuta urais utagundua kabisa kuwa hana mapenzi mazur na inchi yetu. Hvyo mm naona ni vyema wananch tukawa makini na tuache ulimbukeni tukihurumie kizaz kjacho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.